Zero Conscious_
Member
- Mar 12, 2024
- 45
- 140
Wazee wa BATTLE.. Sijui usipofungua gate inakuajeR.i.P Classmates, mmeondoka na ujana wenu..😥
Ye baba ajali za kuovateki mara nying zinatokea kwa kuwa kuna mmoja anakua kaunga tela kisa wa mbele katoka wa nyuma nae anatoka ...".. akauziwa kicheche .."
Wameua?R.i.P Classmates, mmeondoka na ujana wenu..
Pamoja na upumbavu wa madereva, pia uzembe na upuuzi wa mamlaka za uma unahusika. Barabara kuu yenye msongamano namna hiyo yahitaji upanuzi. Lazima barabara kuanzia Dar hadi Morogoro iwe na zaidi ya lane 2.Wembamba wa barabara?
Acha kutetea madereva vichaa.
Chanzo hapo ni blind overtake shuhuda anasema kulikua na ligi BM, SAULI na New force hyo tanker ilikua imepaki road mbovu, BM Ndio alikua mbele akaipita afu ka kawaid aya mabus wanaovetake kama nyumbu so sauli nae akaunga akauziwa kicheche.... Pakawa padogo alivotaka kurudi akaivaa tenka huku nyuma Newforce alikua haja keep distance akamparamia Sauli ikawa hvyoo...
Stupid bus drivers
Kuna ajali mbaya sana imetokea Mlandizi. Bus moja limegonga lori la mafuta na kusababisha moto, mwenye taarifa zaidi atujuze tafadhali.
Lakini hii Morogoro Road kwa nini serikali haijali? Barabara nyembamba saaana hasa kipande cha mlandizi to morogoro, barabara kila siku ina ajali na ndio lango la kuingilia na kutokea Dar.
Hata misjui, hapa nasubiri taarifa niende msibani...😫Wameua?
Huu mtindo wa kuovertake hata mimi unanishangaza sanaNachoshangaa hizi bus huwa zinafatana kama nyumbu mmoja akipita nae anapita bila kuangalia kama upo usalama uko mbele au laa huwa nashangaa sana umbali wa kutoka Mbeya kwenda Daslm tu ni mtihani kweli kwa wasafiri kwa sababu ya upuuzi wa madereva wachache....
Serikali umesahau kwamba kuuza bandari kunatakiwa kwenda sambamba na barabara inayokwenda huko bandarini.Kuna ajali mbaya sana imetokea Mlandizi. Bus moja limegonga lori la mafuta na kusababisha moto, mwenye taarifa zaidi atujuze tafadhali.
Lakini hii Morogoro Road kwa nini serikali haijali? Barabara nyembamba saaana hasa kipande cha mlandizi to morogoro, barabara kila siku ina ajali na ndio lango la kuingilia na kutokea Dar.
Kumbe aiseee iligonga mwamba ?!Upo sawa sana sisi tulikua tunasema Meli ilibeba mzigo zaidi ila USA wakaja na taarifa ya kuonyesha meli iligonga mwamba ndio chanzo cha ajali...
Yap waliivuta kwa kutumia Satellite wakaja na majibu pana jamaa Eng wa wapi sijui aliambiwa akate juu ilivyogeuka watu walikua wanapiga kelele maana ilikua inazama taratibu baada ya kuikata lile eneo lililokua linaonekana ilizama kwa siku chache...Kumbe aiseee iligonga mwamba ?!
Dah nasikia ilikuwa meli kubwa sana. Ila sidhani kama ni kubwa kama hii mpya MV MWANZAYap waliivuta kwa kutumia Satellite wakaja na majibu pana jamaa Eng wa wapi sijui aliambiwa akate juu ilivyogeuka watu walikua wanapiga kelele maana ilikua inazama taratibu baada ya kuikata lile eneo lililokua linaonekana ilizama kwa siku chache...
Ilibeba watu zaidi ya 900 mkuu ilikua kubwa sana..Dah nasikia ilikuwa meli kubwa sana. Ila sidhani kama ni kubwa kama hii mpya MV MWANZA
MV MWANZA ina beba watu 1200, magari siyo chini ya 28Ilibeba watu zaidi ya 900 mkuu ilikua kubwa sana..
Inaishia kibaha ileKwani njia 8 ya JPM imejengwa barabara ipi?
Hawani mipango mikakati, wanajiamria tuSerikali umesahau kwamba kuuza bandari kunatakiwa kwenda sambamba na barabara inayokwenda huko bandarini.
Kwa foleni iliyoko Kati ya Kibaha na Chalinze na Ile ya kule mpakani tunduma, hata Kama DPW wanaweza kufanya 100 moves per hour bado congestion bandarini itaendelea kuwepo na container turn around itakua mbaya zaidi.
Sawa na kujenga choo kizuri halafu ukasahau kuunganisha bomba la maji.