Blessed Tajiri
JF-Expert Member
- Dec 16, 2023
- 221
- 659
Wakuu,
Hili ni tukio la kichama, katika shughuli ambayo kama atafanikiwa basi acc hizo za ikulu ndio zitatumika kirusha matukio yake.
Kwanini zinatumika leo Samia akienda kuchukua fomu kama mgombea wa CCM, ni kwamba wameshapitisha kwamba yeye ameshakuwa Rais?
Vyama vingine vikienda kuchukua fomu za Urais nazo watarushwa kwa account ya Ikulu? Wasipowarusha pia hiyo itakuwa ni upendeleo wa wazi wazi, na tayari mapema kabisa mmeshaonesha wananchi kuwa Samia kashawazidi kete wengine, hadi ameanza kutumia vitu vya serikali.
Leteni hizo povu tukafulie nguo!
Hili ni tukio la kichama, katika shughuli ambayo kama atafanikiwa basi acc hizo za ikulu ndio zitatumika kirusha matukio yake.
Kwanini zinatumika leo Samia akienda kuchukua fomu kama mgombea wa CCM, ni kwamba wameshapitisha kwamba yeye ameshakuwa Rais?
Vyama vingine vikienda kuchukua fomu za Urais nazo watarushwa kwa account ya Ikulu? Wasipowarusha pia hiyo itakuwa ni upendeleo wa wazi wazi, na tayari mapema kabisa mmeshaonesha wananchi kuwa Samia kashawazidi kete wengine, hadi ameanza kutumia vitu vya serikali.
Leteni hizo povu tukafulie nguo!