Kwaniini wale wanaoitwa ‘Wahamiaji haramu' huwa hawakimbilii China?

Naona umeanza kashifa ingawaje hunifahamu kwa the smallest percentage unit!! Tena usisahau, ulivyozungumzia awali wala huku-specify hao wanaorudishwa ni watu wa aina gani lakini uliyekuwa umem-quote alikuwa anazungumzia Mahujaji na hapo wewe ukasema:Wakiwakamata wote baada ya Hijja, hao "wote" ni akina nani hasa ukizingatia Mchangiaji alikuwa anazungumzia Maujaji?!

Ghalfa unabadilika na kudai hao ni vibarua wanaoenda kuwahudumia mahujaji!Sasa kama sio unafiki tuite nini?! According you, hao wameenda pale temporarily, sasa ulitarajia wabaki hadi lini wakati kazi iliyowapeleka imeshaisha?! Ni nchi ipi ambayo wangeenda kutoa huduma kwa muda na kisha wakaruhusiwa waendelee kubaki?! Tena umesema wazi kwamba wanaingia Saudi Arabia kwa maboti!! Hivi hao watakuwa wameingia kihalali hao? Nitajie nchi moja ambayo hata baada ya kuona wahusika ni wahamiaji haramu, bado wanaendelea kuishi nao?! Tanzania mara ngapi tumewarudisha Waafrika wenzetu kwao baada ya kuona wameingia kinyume cha utaratibu?! Mara kwa mara tunawakamata Wa-Ethiopia hapa ambao sio kwamba wanakuja Tanzania, lakini wanajipitia zao kwenda SA kutafuta maisha lakini sisi tunawadaka na kuwapeleka mahakamani! Ile government shutdown ya US ni ya nini kama haijasababishwa na Donald Trump kutaka kujenga ukuta kuzuia wahamiaji haramu?!
Mkuu sikubaliani nawahamiaji haramu, ila nasemea jinsi hao waarabu wanavo haddle na kutreat hao watu sio vizuri inaunyesha uraho mbaya wao....imagine umekusanya hao kutoka nchi mbali mbali unawapakia kwa ndege endayo Congo si ni mateso zaidi wengine unawafungwa bila hukumu wewe angalia Libya tu jinsi inavo uza Africa weusi. Waarabu ni nuksi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu sikubaliani nawahamiaji haramu, ila nasemea jinsi hao waarabu wanavo haddle na kutreat hao watu sio vizuri inaunyesha uraho mbaya wao....imagine umekusanya hao kutoka nchi mbali mbali unawapakia kwa ndege endayo Congo si ni mateso zaidi wengine unawafungwa bila hukumu wewe angalia Libya tu jinsi inavo uza Africa weusi. Waarabu ni nuksi

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unaongea mambo ya kusikia! Kwavile umesema hakuna nachojua kwa sababu nasikiliza TBC, nitakupa sources ambazo hata TBC yenyewe hawaifahamu na wala hazina mafungamano na Saudi Arabia:

Tuanze na jirani zetu, mtandao wa Kenya unaripoti:
Kenyans living illegally in Saudi Arabia have been given a 90-day amnesty period or risk deportation and other legal penalties.
Wakati sisi tunawadaka wa-Ethiopia juu kwa juu wakati wanapita njia tu, Saudi Arabia wanawahapa Wahamiaji haramu siku 90 za kujipanga na kuondoka!!

Hawa tena The Reuters:
For four months, texts from the government pinged into every mobile phone in Saudi Arabia ordering “illegal expatriates” to leave the kingdom before the end of an amnesty that expired in late July.
Hicho ambacho kimeripotiwa na Mtandao wa Kenya, kimeripotiwa tena na Reuters wakaionesha serikali ya Saudi Arabia wakitumia miezi 4 ya kampeni za kutuma meseji kuwaambia wahamiaji haramu waondoke na kurudi kwao! Na ukumbuke walipewa siku 90, lakini hapo tunaona miezi 4 imeshapita!

The Reuters wanaendelea:-
Saudi authorities estimate more than 600,000 people took the amnesty, which allowed any foreigner in breach of residency laws in the world’s top oil exporter to leave without penalty.
Kupitia kampeni yake, Wahamiaji Haramu zaidi ya Laki 6 waka-comply na agizo la serikali! Lakini REuters wanaendelea tena:-
But millions of others have remained, either determined to stay or unable to avail themselves of the offer. Now they are awaiting a pledged crackdown against what Riyadh calls the “reckless people” who defied the order to leave.
Sasa hapo unaweza kupata picha kuna wahamiaji haramu wangapi!

Reuters wanaendelea:
Some 12 million of the 32 million people living in Saudi Arabia are foreigners, according to official figures, most of them low-skilled workers from Asia and Africa working in the construction and service sectors.
Na hawaishii hapo, kisha wanaongeza:-
Saudi authorities tolerated labor irregularities for decades, due to the expense and economic impact of expulsions.
Kumbe, hawa unaowalaumu kwamba ni roho mbaya, wamewavumilia wahamiaji haramu kwa miongo!

Na habari kutoka the world's largest news agency from West!

Katika kuitikia wito wa Serikali ya Saudia Arabia kwamba Wahamiaji Haramu waondoke wenyewe, Serikali ya Ethiopia ikawahamasisha wananchi wake watii sheria bila shuruti, lakini, BBC wanatuambia:-
Ethiopia says that only a fraction of its citizens working illegally in Saudi Arabia have returned home before today's amnesty deadline.
Kwa maana nyingine, Wa-Ethiopia walikaidi amri! Na mwaka 2013 walikaidi hivyo hivyo kiasi cha kuzuka bonge la vurugu kati yao na polisi! Yaani wewe ni Mhamiaji Haramu! Wenye nchi yao wanakuambia kwa upole kwa kukupa miezi 4 uende kwenu lakini HUTAKI![/QUOTE]Now tell me! Wewe ndo ungekuwa mwenye mamlaka pale Saudi Arabia, ungefanya nini?! Hao unaosema roho mbaya, lakini ni roho mbaya baada ya kuwa wamewavumilia kwa miongo kadhaa, hiki ndicho walifanya according to Voice of America:-
ADDIS ABABA, ETHIOPIA — Undocumented Ethiopian migrants who are being forcibly deported from Saudi Arabia by the thousands in a new crackdown say they were mistreated by authorities while detained. Na tukiweka chuki zetu pembeni, nchi yoyote wangefanya hivyo hivyo!
VOA wanaendelea:-
Saudi Arabia, like other rich Gulf nations, is a magnet for hundreds of thousands of people from impoverished East African nations like Ethiopia and Somalia. They pay traffickers for rides in boats across the narrow waters to Yemen, where they make their way by land through a war zone.
Yaani kuna malaki kutoka East Africa, especially Horn of Africa!!!

Halafu madai yako kwamba eti wanawatia kwenye ndege moja ni madai yasiyo na msingi unless kama hujawahi kusafiri licha ya kumaanisha ushawahi sana kusafiri nje! Nasema ni hoja isiyo na msingi sidhani kama kuna nchi yenye flight destination to all African Countries! Kwa maana nyingine, kama Saudi Arabia kuna Kenya Airways, wote kutoka East Africa mtaingizwa kwenye Kenya Airways na kutua Nairobi! Utakuwa unashangaza kama baada ya hapo ulitarajia serikali ya Saudi Arabia wakupe tiketi kutoka Nairobi kwenda kwenu Bunjumbura, Dar es salaam, n.k! Kwani hamna ubalozi wenu hapo Nairobi?! Ikiwa mliweza kuwalipa human traffickers kuwaingiza Saudi Arabia, kwanini ushindwe kujilipia kutoka Nairobi kwenda Tanzania?! Again, ubalozi wenu upo wapi?!

Na ukumbuke kwamba, hiyo ni 2017 lakini jambo kama hilo lilitokea mwaka 2013!

Mtandao unaojishughulisha na Diasporas, na wenyewe unasema:-
In 2013, a similar campaign took place to legalize the status of undocumented workers in the Kingdom. Back then, a three-month amnesty was announced in April 2013 before late King Abdullah extended the grace period to November 2013.
Interior Ministry spokesman Maj. Gen. Mansour Al-Turki said that over 2.5 million violators left the country under that campaign.
Kama ambavyo kampeni ya 2017 siku ziliongezwa kuwaambia Wahamiaji Haramu warudi kwao, mwaka 2013 hivyo hivyo siku ziliongezwa kutoka miezi 3 hadi miezi 7 ambapo Wahamiaji 2.5 waliondoka but still, nchi ikabaki na mamilioni wengine!

Habari kama hiyo iliwahi kuripotiwa na Shirika la Habari Ujerumani waliosema:-
On Monday police started a nationwide crackdown on illegal immigrants after the end of a seven-month amnesty for foreign workers whose permits had expired or who were not working for their official sponsors. Thousands of immigrants have since been deported from the country after they failed to legalize their status during the amnesty period, according to local media.
Na kama unadhani hao wanafanywa hivyo kwa sababu ni Waafrika, VOA hapa wanaongea kinyume chake:-
Human Rights Watch researcher Adam Coogle said that in interviews with dozens of Yemeni migrants in a previous Saudi crackdown in 2014, many “described serious abuses during the process of detention and deportation, including attacks by security forces.” The rights group has not documented the current campaign, he said.
Hao wa-Yemen ni waarabu PURE!
 
Back
Top Bottom