Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,224
- 6,356
Mlaumu Kikwete kwani ndiye mshauri wake mkuu ona hata watu anaowachagua, wengi wao ni vilaza waliofukuzwa kwenye awamu iliyopita na sasa anawarudisha madarakani kwenda kucheza karata ofisini.