zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,039
- 28,688
Kwanini wajiue? Kwani katiba mpya inaongelea tu mambo ya chaguzi? Anyway hvi chaguzi zikiwa huru na haki Samia akishinda haoni atawashushua wapinzani wanaodai wanaibiwa Kila siku?Sio rahisi kwa CCM wajiue wenyewe kwa kuruhusu mchakato huru wa katiba ufanyike. Ni kama wapewe kisu halafu wajichinje wao wenyewe.
Ndio haya haya ya Lowassa na Membe waliona wataishia CCM milele siku wanahamia upinzani wanagundua umuhimu wa tume huru!!
Hata polepole alijuta kusimamia sheria kandamizi za mawasiliano na takwimu.
Kwa hiyo hata hao CCM wajue watakua Kina Sabaya na Polepole wa baadae hivo waandae mazingira mazuri ili siku mambo yakigeuka wawe na safe haven ya kudondokea.