nchi inatafunwa hii😭😭kwanini mkuu?
Mchapa kazi kwanzaHabari zenu wakubwa,
Naomba kuuliza hivi mpaka mtu anafanikiwa kwenye biashara zake na kuwa tajiri mkubwa kama akina Mo, Bakresa huwa inatokana na uchapakazi huu huu tulionao ata sisi au ni bahati tu ya mtu inahusika kumwinua aufikie utajiri?
Ila hakuna mtu ambae ni tajiri kwakuwa alishinda jackpot. Hao bado ni maskini tu maana wengi hizo hela huwa zinarudi huko huko walipozitoa kwa bahati.Uchapakazi unaleta bahati, kwahiyo ni mchanganyiko
Japo kuna zile bahati nyepesi za ghafla tu mfano kushinda jackpot
kuna mtu amekaa ndani ana-bet, mara milioni mia nane paaaaap!Kaa NDANI subilia bahati
Ni mitazamo....namna wanavyoliangalia na kulichukulia jambo..halafu zingatia hao uliowataja ni wana wa Mashariki...hivyo wanaitumia nguvu ya mashariki kwa ukamilifu wake.Habari zenu wakubwa,
Naomba kuuliza hivi mpaka mtu anafanikiwa kwenye biashara zake na kuwa tajiri mkubwa kama akina Mo, Bakresa huwa inatokana na uchapakazi huu huu tulionao ata sisi au ni bahati tu ya mtu inahusika kumwinua aufikie utajiri?