Kwani Samia si ajiuzulu tu

Kwani Samia si ajiuzulu tu

Traxtion

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2021
Posts
6,775
Reaction score
13,960
Yani sikuhizi kila nikiona video za mandhari nzuri za Tanzania nikianza kufurahi kichwa changu kinanikumbusha Samia ndio Rais

Haka kabibi kajiuzulu tu tupumzike mauaji na kutekana, Tanzania yetu irudi tulivyoizoea. 2030 inachelewa
 
Yani sikuhizi kila nikiona video za mandhari nzuri za Tanzania nikianza kufurahi kichwa changu kinanikumbusha Samia ndio Rais

Haka kabibi kajiuzulu tu tupumzike mauaji na kutekana, Tanzania yetu irudi tulivyoizoea. 2030 inachelewa
Ni kifungu gani cha Katiba ya JMT kina elekeza hivyo?
 
Ni kifungu gani cha Katiba ya JMT kina elekeza hivyo?
Kama nchi ingekuwa inafuata katiba, Samia kamwe asingekuwa Rais kwa mara ya pili, na mimi nisingesema Samia ajiuzulu kwa sababu asingekuwa Rais kwa wakati huo. Kwa hiyo hili swali lako usingeliuliza, maana huu uzi usingekuwepo.
Tafuta mwenyewe jibu la swali lako
 
downloadfile-1.jpg
 
Kama nchi ingekuwa inafuata katiba, Samia kamwe asingekuwa Rais kwa mara ya pili, na mimi nisingesema Samia ajiuzulu kwa sababu asingekuwa Rais kwa wakati huo. Kwa hiyo hili swali lako usingeliuliza, maana huu uzi usingekuwepo.
Tafuta mwenyewe jibu la swali lako
Hebu elezea katiba inamzuwiaje Samia kuwa rais kwa mara ya pili
 
Katiba haimzuwii Samia kuwa raisi muhula wa pili.
Pia kujiuzulu haimkatazi. Ni uamuzi wake tu.
 
Kama nchi ingekuwa inafuata katiba, Samia kamwe asingekuwa Rais kwa mara ya pili, na mimi nisingesema Samia ajiuzulu kwa sababu asingekuwa Rais kwa wakati huo. Kwa hiyo hili swali lako usingeliuliza, maana huu uzi usingekuwepo.
Tafuta mwenyewe jibu la swali lako
Ajiuzulu kukufurahisha wewe?
 
Yani sikuhizi kila nikiona video za mandhari nzuri za Tanzania nikianza kufurahi kichwa changu kinanikumbusha Samia ndio Rais

Haka kabibi kajiuzulu tu tupumzike mauaji na kutekana, Tanzania yetu irudi tulivyoizoea. 2030 inachelewa
Putin kamuambia akomae hapo hapo na wala asijiuzulu!
 
Back
Top Bottom