kikwete ana uwezo kiakili kupita slaa...acha kupotosha watu na blah blah..tumia vigezo vyote vya kupima iq utagundua
kikwete ana uwezo mkubwa kupita slaa kimaadilia..hilo liko wazi mara uapdiri, mara mke mara mke wa mtu...hajatulia bado....
Kikwete ana uwezo mkubwa ki-utendaji kupita marais wengi waliopita..proven kwa mtandao wa barabara ulivyoongezeka nchini, shule za sekondari na vyuo vikuu, ..
Kwakuwa mmekosa hoja kwa jk mmeanza kushambulia kwa upupu na ushabiki bila mantiki
jk can do more, has done alot!
tatizo sisi...sisi wote hatuko makini na yeye ni kioo cha jamii na jamiii ni sisi
tunaishi hivyo wote, hatuko makini, nk.
Unachokiona kwenye hiyo picha ndiyo reflection ya jamii ya watanzania, umakini mdogo na rabsha nyingi
hii ni profession siku hizi?Lukolo,
Baada ya uchaguzi Slaa atashtakiwa kwa kutembea na mke wa mtu...
Slaa hana ubavu wa kuwa rais tanzania...hana uwezo huo...
Mtaalamu wa kanuni za kanisa....are you serious?
Unaweza kumlinganisha na Rais wa nchi..JK
Lukolo,
Baada ya uchaguzi Slaa atashtakiwa kwa kutembea na mke wa mtu...
Slaa hana ubavu wa kuwa rais tanzania...hana uwezo huo...
Mtaalamu wa kanuni za kanisa....are you serious?
Unaweza kumlinganisha na Rais wa nchi..JK
Mwaka huu mtahaha sana.......hhahahaaa! kwikwi kwiii!!!!slaa ana akili za kuzini na wake za watu. ati mtu anajisifu kuwa yule wa mwanzo hatukuoana ila tulizaa tu, si uzinzi kitu gani?
mtu alie padri anaweza kusema haya mbele ya umma? halafu anachukua mke wa mtu bila ya kumuuliza hicho cheti cha kuachika kwa mumeo kiko wapi ?
huyu ni muhuni tu
slaa ana akili za kuzini na wake za watu. ati mtu anajisifu kuwa yule wa mwanzo hatukuoana ila tulizaa tu, si uzinzi kitu gani?
mtu alie padri anaweza kusema haya mbele ya umma? halafu anachukua mke wa mtu bila ya kumuuliza hicho cheti cha kuachika kwa mumeo kiko wapi ?
huyu ni muhuni tu
Utatu Mtakatifu. Kampeni za SHUKA KWA SHUKA...............
una maanisha nn ? wetu huyo ni dume la mbegu, hana wasi wasi kazi yake tunaijua ila huyo wenu kujipa usafi asio nao
Kipi ambacho si kweli kwa mgombea wenu mpaka mseme anachafuliwa? si ni mtaalamu wa kanuni za kanisa? si ameoa mke wa mtu? and so on..hizo ni facts kuwa siyo muadilifu na siyo mtaalamu wa kitu chochote chama maana zaidi ya kanuni za kanisa?
JK ana uwezo kiakili na kiutendaji na zaidi ya hayo ni muadilifu ukimlinganisha na huyo padre aliyeasi ok!
Uwezo wake kiakili unapimika kwa namna nyingi ikiwemo jinsi anavyonadi sera badala ya kutukana eti analipua" mrema type
Uwezo wake ki-utendaji ni mtandao wa barabara, shule nyingi za sekondari, vyuo vikuu na mafisadi kupelekwa mahakamani...
Anafuata sheria zilizopo vema kabisa..nchi haiongozwi kiimla kama anavyofikiri slaa na wengine haki za watu wote lazima ziheshimiwe period!
Enzi hizi siyo enzi za mwalimu unamfunga mtu kabla ya kumshtaki..na hazitarudi hata kwa upanga..tuko macho..
Lukolo,
Baada ya uchaguzi Slaa atashtakiwa kwa kutembea na mke wa mtu...
Slaa hana ubavu wa kuwa rais tanzania...hana uwezo huo...
Mtaalamu wa kanuni za kanisa....are you serious?
Unaweza kumlinganisha na Rais wa nchi..JK
Kikwete ana uwezo kiakili kupita Slaa...acha kupotosha watu na blah blah..tumia vigezo vyote vya kupima IQ utagundua
Kikwete ana uwezo mkubwa kupita Slaa Kimaadilia..hilo liko wazi mara uapdiri, mara mke mara mke wa mtu...hajatulia bado....
Kikwete ana uwezo mkubwa ki-utendaji kupita Marais wengi waliopita..proven kwa mtandao wa barabara ulivyoongezeka nchini, shule za sekondari na vyuo vikuu, ..
Kwakuwa mmekosa hoja kwa JK mmeanza kushambulia kwa upupu na ushabiki bila mantiki
JK can do more, has done alot!
ndiyo mwenyewe huyo siyo kama yaani ndiye original huyoHapa umejibu nini kulingana na post iliyopo hapo juu? Kweli wewe ni kama makamba tu, uwezo wa viongozi na mashabiki wa CCM ndiyo unaishia hapa. Umewekewa evidence kibao hapo juu, zinazoonyesha kwamba Kikwete hana umakini katika utendaji wake, badala ya kujibu hizo unaanza kufanya ulinganisho ambao haupo kabisa kwenye hiyo post. Si ujibu kama hayo yaliyosemwa hapo kwenye hiyo post yalitokea kwa Kikwete au hayakutokea? Hapa habari za Slaa zimeingiaje? Mbona usimseme Lipumba, Rugwe au Mtahwa?
Tunajua hicho chote ni kiwewe cha CCM dhidi ya Slaa, nafikiri amewashika pabaya mwaka huu. Hata mkishituka tu usingizini cha kwanza kutamka ni Slaa, hakuna lingine. Fedha zote mlizowaibia wananchi maskini mwaka huu zitawatokea puani. Slaa anawashitaki nyie wote na ufisadi wenu huo.