Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,670
- 13,236
Kama kweli mbona dr.slaa ndiye amekuwa akiiongoza serikali ya kikwete kupitia hoja zake zilizojaa ukweli na zilizopangika......kuna mabo mengi kikwete asingeweza kufanay bila msukumo wa kikwete................
Slaa ni zaidi ya kikwete kwani ndiye aliyemsaidia kuendesha nchi japo yeye kawekwa mfukoni mwa akina rostam na lowasa
Slaa ni zaidi ya kikwete kwani ndiye aliyemsaidia kuendesha nchi japo yeye kawekwa mfukoni mwa akina rostam na lowasa
kikwete ana uwezo kiakili kupita slaa...acha kupotosha watu na blah blah..tumia vigezo vyote vya kupima iq utagundua
kikwete ana uwezo mkubwa kupita slaa kimaadilia..hilo liko wazi mara uapdiri, mara mke mara mke wa mtu...hajatulia bado....
Kikwete ana uwezo mkubwa ki-utendaji kupita marais wengi waliopita..proven kwa mtandao wa barabara ulivyoongezeka nchini, shule za sekondari na vyuo vikuu, ..
Kwakuwa mmekosa hoja kwa jk mmeanza kushambulia kwa upupu na ushabiki bila mantiki
jk can do more, has done alot!