Mwl. Nyerere aliuliza, Ukabila una kazi gani?

Sep 20, 2023
26
38
Mwl Nyerere, ila leo kunakitu. Jambo hili la ukabila Mwl alikemea sana; dalili au viashiria vyake, hongera Mwl. Leo hii tena baada ya miaka mingi kuna hisia za viongozi kutaka kupanda mbegu za ukabila. Tunaona kanda ya Wasukuma inaonesha bila wao, CCM itashindwa; viongozi wanahonga vyeo Wasukuma ili waichague CCM, jamani!

Uteuzi wa Biteko Doto, juzi uteuzi wa Makonda kisa ili Wasukuma wajue kuwa wao bado miamba hii kweli kwa Watanzania ni dhana mpya ili kujenga element za ukabila. Tunajifunza, Mwl alichaguliwa na Watanzania akiwa anatokea kwenye kabila dogo sana, Wazanaki; pia Mkapa kwa Wa Makua na Kikwete Wakwele. Hatujawahi taifa hili kuwaogopa Wasukuma.

Ikitokea Watanzania wakajua hili, ukabila uko njiani; kesho Wanyakyusa wataanza nao kuogopwa. Niliombee taifa letu, sisi tayari tumeshaunganishwa, hatuna ukabila.
 
wakati anasema ukabila una kazi gani, hapo hapo kwenye jeshi na polisi alijaza watu wa musoma, na ndio imekuwa historia hadi leo. though kwa habari ya makabila mengine alijitahidi kutuunganisha na inawezekana kutokana na kupindua marais kulikokuwepo enzi zile, icho ndio kilimpelekea kufanya hivyo. kiukweli, nyerere hakuwa mkabila kuliko wengi wetu.
 
MWL NYERERE ,ILA LEO KUNAKITU

Jambo hili LA ukabila mwl alikemea sana ,dalili au viashiria vyake ,hongera MWL .

Leo hii tena baada ya miaka mingi kuna hisia za viongozi kutaka kupanda begu za ukabila

Tunaona eti kanda ya wasukuma ,inaonesha bila wao ,CCM itashindwa hivo, viongozi wanahonga vyeo wasukuma ili waichague CCM jamani !
Uteuzi was Biteko Doto ,juzi uteuzi wa Makonda kisa ili wasukuma wajue kuwa wao bado miamba hii kweli kwa waTanzania ni,dhana mpya ili kujenga element za ukabila

Tunajifunza,MWL alichaguliwa na wa Tanzania akiwa anatokea kwenye ,kabila dogo sana wazanaki ,pia Mkapa kwa, Wa makua na Kikwete Wakwele
Hatuja wahi taifa hili Ku waogopa Wasukuma

Ikitokea Watanzania wakajua hili ,ukabila uko njiani tena Mkubwa ,kesho Wanyakyusa ,wataanza nao kuogopwa.

Niliombee taifa letu sisi tulisha unganishwa hatuna ukabila
Utakuwa na tatizo na wasukuma wewe. Ina maana wasukuma Wana shida Gani mpaka wabaguliwe kupewa uongozi kwenye inchi hii. ACHA ubaguzi wa kishamba
 
MWL NYERERE ,ILA LEO KUNAKITU

Jambo hili LA ukabila mwl alikemea sana ,dalili au viashiria vyake ,hongera MWL .

Leo hii tena baada ya miaka mingi kuna hisia za viongozi kutaka kupanda begu za ukabila

Tunaona eti kanda ya wasukuma ,inaonesha bila wao ,CCM itashindwa hivo, viongozi wanahonga vyeo wasukuma ili waichague CCM jamani !
Uteuzi was Biteko Doto ,juzi uteuzi wa Makonda kisa ili wasukuma wajue kuwa wao bado miamba hii kweli kwa waTanzania ni,dhana mpya ili kujenga element za ukabila

Tunajifunza,MWL alichaguliwa na wa Tanzania akiwa anatokea kwenye ,kabila dogo sana wazanaki ,pia Mkapa kwa, Wa makua na Kikwete Wakwele
Hatuja wahi taifa hili Ku waogopa Wasukuma

Ikitokea Watanzania wakajua hili ,ukabila uko njiani tena Mkubwa ,kesho Wanyakyusa ,wataanza nao kuogopwa.

Niliombee taifa letu sisi tulisha unganishwa hatuna ukabila
Jamani ccm ni basi sasa wanataka kutuharibia nchi yetu waondoke!
 
wakati anasema ukabila una kazi gani, hapo hapo kwenye jeshi na polisi alijaza watu wa musoma, na ndio imekuwa historia hadi leo. though kwa habari ya makabila mengine alijitahidi kutuunganisha na inawezekana kutokana na kupindua marais kulikokuwepo enzi zile, icho ndio kilimpelekea kufanya hivyo. kiukweli, nyerere hakuwa mkabila kuliko wengi wetu.
Una uhakika kwamba Nyerere ndiye alikuwa anawafanyia usaili wale wote waliokuwa na nia ya kujiunga na jeshi Tanzania nzima?
 
MWL NYERERE ,ILA LEO KUNAKITU

Jambo hili LA ukabila mwl alikemea sana ,dalili au viashiria vyake ,hongera MWL .

Leo hii tena baada ya miaka mingi kuna hisia za viongozi kutaka kupanda begu za ukabila

Tunaona eti kanda ya wasukuma ,inaonesha bila wao ,CCM itashindwa hivo, viongozi wanahonga vyeo wasukuma ili waichague CCM jamani !
Uteuzi was Biteko Doto ,juzi uteuzi wa Makonda kisa ili wasukuma wajue kuwa wao bado miamba hii kweli kwa waTanzania ni,dhana mpya ili kujenga element za ukabila

Tunajifunza,MWL alichaguliwa na wa Tanzania akiwa anatokea kwenye ,kabila dogo sana wazanaki ,pia Mkapa kwa, Wa makua na Kikwete Wakwele
Hatuja wahi taifa hili Ku waogopa Wasukuma

Ikitokea Watanzania wakajua hili ,ukabila uko njiani tena Mkubwa ,kesho Wanyakyusa ,wataanza nao kuogopwa.

Niliombee taifa letu sisi tulisha unganishwa hatuna ukabila
Nchi hii Ina matatizo mengi ya ukabila Kuna taasi kubwa nyingi wamejazana watu wa kasikazini mbona hamkemei
 
MWL NYERERE ,ILA LEO KUNAKITU

Jambo hili LA ukabila mwl alikemea sana ,dalili au viashiria vyake ,hongera MWL .

Leo hii tena baada ya miaka mingi kuna hisia za viongozi kutaka kupanda begu za ukabila

Tunaona eti kanda ya wasukuma ,inaonesha bila wao ,CCM itashindwa hivo, viongozi wanahonga vyeo wasukuma ili waichague CCM jamani !
Uteuzi was Biteko Doto ,juzi uteuzi wa Makonda kisa ili wasukuma wajue kuwa wao bado miamba hii kweli kwa waTanzania ni,dhana mpya ili kujenga element za ukabila

Tunajifunza,MWL alichaguliwa na wa Tanzania akiwa anatokea kwenye ,kabila dogo sana wazanaki ,pia Mkapa kwa, Wa makua na Kikwete Wakwele
Hatuja wahi taifa hili Ku waogopa Wasukuma

Ikitokea Watanzania wakajua hili ,ukabila uko njiani tena Mkubwa ,kesho Wanyakyusa ,wataanza nao kuogopwa.

Niliombee taifa letu sisi tulisha unganishwa hatuna ukabila
Uko sahihi kabisa,Magufuri aliharibu sana taswira ya umoja na mshikamano wa Watanzania.
 
awamu ya magufuli ndio ilizidisha ukabila. mwinyi hakuwa mkabila, mkapa hakuwa mkabila kabisa, kikwete hakuwa mkabila kabisa kabisa wala hakuwa mdini. ila magufuli, kwanza akienda mikoa ya mwanza alikuwa anaongea kisukuma, na kuna wakati alifukuza machinga wote mikoa mingine, wale wa machina wa mwanza akasema waacheni. imeendelea hadi leo kwa awami hii manake sa100 siku moja aliseme yeye ni mzanzibari na sikuelewa kwanini aliamua kutamka vile wakati yeye ni Rais wa Tanzania yote.
 
of course sina uhakika, ila huwa sielewi kwanini imekuwa hivyo hadi leo. hebu tuambie, ilitokeaje tokeaje?
"Sina uhakika","Ila huwa sielewi"!Kwa hayo maneno tu Ilipaswa kuwa mtulivu na kufanya udadisi ili uoneshe umahiri wako wa kujifunza.Hilo swali lako sintolijibu hadi ufute maneno yako ya kubahatisha na uchonganishi.
 
MWL NYERERE ,ILA LEO KUNAKITU

Jambo hili LA ukabila mwl alikemea sana ,dalili au viashiria vyake ,hongera MWL .

Leo hii tena baada ya miaka mingi kuna hisia za viongozi kutaka kupanda begu za ukabila

Tunaona eti kanda ya wasukuma ,inaonesha bila wao ,CCM itashindwa hivo, viongozi wanahonga vyeo wasukuma ili waichague CCM jamani !
Uteuzi was Biteko Doto ,juzi uteuzi wa Makonda kisa ili wasukuma wajue kuwa wao bado miamba hii kweli kwa waTanzania ni,dhana mpya ili kujenga element za ukabila

Tunajifunza,MWL alichaguliwa na wa Tanzania akiwa anatokea kwenye ,kabila dogo sana wazanaki ,pia Mkapa kwa, Wa makua na Kikwete Wakwele
Hatuja wahi taifa hili Ku waogopa Wasukuma

Ikitokea Watanzania wakajua hili ,ukabila uko njiani tena Mkubwa ,kesho Wanyakyusa ,wataanza nao kuogopwa.

Niliombee taifa letu sisi tulisha unganishwa hatuna ukabila
Kwa Mbeya wanyakusa ni 10% tu hivyo hakuna impact yoyote. Sema wasafwa ndio wengi kwa Mbeya.
Pengine hujui
 
Ukabila muhimu ukitoa ukabila kwa kitu chenye nature ya nguvu kubwaa ni kabila ndo nature yako iyo inakutambulisha popopte kokote maweza kukusaidia pia kukuangamiza unaweza kuchakachua utaifa Ila sio kabila lipo noted na jinsi ulivyoook

Penda kabila kuliko kabila lolote lipiganie kabila lako kuliko kitu kingine nguvu ya kabila bongo hatuijui lakini wenye akili washajua kuna nguvu kubwa ndani ya ukabila zaidi hata ya dini zenu hizo......wasukuma washajijua wanalisha tz nzima cos ni ,wachapakaz,wanapendana,wanajali kabila yao nature zao wana umoja......

Nenda maponde yote yenye asili ya maji mikoa yote ukimkosa msukuma ujue hapo haupo tanzania, Mensa chimbo lolote ukimkosa uyu mtu anaitwa msukuma achana napo hapo kuna njaaa ya kufa mtu............
 
MWL NYERERE ,ILA LEO KUNAKITU

Jambo hili LA ukabila mwl alikemea sana ,dalili au viashiria vyake ,hongera MWL .

Leo hii tena baada ya miaka mingi kuna hisia za viongozi kutaka kupanda begu za ukabila

Tunaona eti kanda ya wasukuma ,inaonesha bila wao ,CCM itashindwa hivo, viongozi wanahonga vyeo wasukuma ili waichague CCM jamani !
Uteuzi was Biteko Doto ,juzi uteuzi wa Makonda kisa ili wasukuma wajue kuwa wao bado miamba hii kweli kwa waTanzania ni,dhana mpya ili kujenga element za ukabila

Tunajifunza,MWL alichaguliwa na wa Tanzania akiwa anatokea kwenye ,kabila dogo sana wazanaki ,pia Mkapa kwa, Wa makua na Kikwete Wakwele
Hatuja wahi taifa hili Ku waogopa Wasukuma

Ikitokea Watanzania wakajua hili ,ukabila uko njiani tena Mkubwa ,kesho Wanyakyusa ,wataanza nao kuogopwa.

Niliombee taifa letu sisi tulisha unganishwa hatuna ukabi
ACHA unafiki hamna watu Wana ubaguzi na ukabila kama watu wa kasikazini hasa wachaga nenda taasi nyeti utayakuta yamejazana menyewe afu yanakemea ukabila acheni ujinga hii nchi sio ya wachaga
 
Unataka kusema sa100 anaendekeza ukabila kuliko alivyokuwa hayati Nyerere au imekaaje ? Hao viongozi wa kanda ya ziwa uliowataja ni karata ya kupata Kura Kwa kanda ya ziwa yenye idadi kubwa ya wapiga Kura na kurudisha mvuto wa Raisi hususani Kwa mgongo wa hayati Jpm. Huo ukabila alifanya muhasisi na hadi wengine wanafuata haswa Kwa makabila yenye idadi kubwa ya watu na bado Mila zao wanazidumisha kama wasukuma .
 
"Sina uhakika","Ila huwa sielewi"!Kwa hayo maneno tu Ilipaswa kuwa mtulivu na kufanya udadisi ili uoneshe umahiri wako wa kujifunza.Hilo swali lako sintolijibu hadi ufute maneno yako ya kubahatisha na uchonganishi.
ukijibu au usipojibu inanipunguzia nini? as a matter of fact? kwa akili yako kabisa ina maana hujui kwanini watu wengi wa Mkoa wa Mara ni mapolisi na wanajeshi? basi utakuwa huna ubongo.
 
ukijibu au usipojibu inanipunguzia nini? as a matter of fact? kwa akili yako kabisa ina maana hujui kwanini watu wengi wa Mkoa wa Mara ni mapolisi na wanajeshi? basi utakuwa huna ubongo.
Waache wawe wengi huko unapopataja.Wewe na wenzio wa kabila lenu mmezoea kucheza midundiko na bao muendelee hivyohivyo.Kupanga ni kupata ulitakalo.
 
Back
Top Bottom