Engager
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 1,327
- 2,755
Viwanja vyote vya soka hapa kwetu vilivyopewa majina ya watu ni majina ya wanasiasa tu.
Benjamini mkapa
Ali Hassan Mwinyi
Sokoine
Amri Abeid
Karume.....etc, nasasa uwanja unajengwa Arusha, hata mkandarasi hajaingia kazini tayari umeshaitwa Samia.
Wanasiasa mbona mnakuwa wabinafsi hivo aisee. Inamaana hatuna lejendari hata mmoja kwenye soka la Tanzania tukampa uwaja jinalake walau tuwe na kitu cha kumkumbuka? Nyie mbona hamridhiki?
Viwanja
Barabara
Kumbi za mikutano
Viwanja vya ndege
Stendi za mabasi
Masoko
Mahospitali...etc, vyote vimebabe majina yenu tu.
Benjamini mkapa
Ali Hassan Mwinyi
Sokoine
Amri Abeid
Karume.....etc, nasasa uwanja unajengwa Arusha, hata mkandarasi hajaingia kazini tayari umeshaitwa Samia.
Wanasiasa mbona mnakuwa wabinafsi hivo aisee. Inamaana hatuna lejendari hata mmoja kwenye soka la Tanzania tukampa uwaja jinalake walau tuwe na kitu cha kumkumbuka? Nyie mbona hamridhiki?
Viwanja
Barabara
Kumbi za mikutano
Viwanja vya ndege
Stendi za mabasi
Masoko
Mahospitali...etc, vyote vimebabe majina yenu tu.