Kwani hakuna uwezekano wa kufanya hivi wakitaka kujenga Fly Over?

Jengo la Tanesco pale Ubungo limejengwa kwa fedha nyingi kwa mabilioni na ni fedha za wananchi masikini wa Taifa hili. Ni kweli mradi wa Fly over ni wa muhimu na ni maendeleo kwa nchi lakini unapoleta maendeleo hupaswi kukurupuka na kuharibu vile vya thamani ulivyokuwa navyo awali. Huo utakuwa ulimbukeni na kukurupuka. Nani kasema Fly over lazima inyooke? Kuliko kuvunja jengo la bilioni kadhaa, zingetumika milioni kadhaa kupata mshauri elekezi kutengeneza mchoro wa kukwepesha barabara kwa juu kwa hiyo section isiyozidi hata mita mia moja. Kuliko kuvunja jengo kama majigambo wakati ni hasara. Mbona wenzetu wanaweza kufanya hivyo? Wataalamu wa kufanya hivyo wapo, tusipende wataalamu rahisi wa kubomoa. Oneni mbona hawa wameweza?
 

Attachments

  • image.jpeg
    image.jpeg
    45.5 KB · Views: 48
Uchwara anataka kuonyesha yeye ndiye yeye. Hakuna wa kumzuia wala wa kumjaribu. Washauri tupa kuleeee.

Jengo la Tanesco pale Ubungo limejengwa kwa fedha nyingi kwa mabilioni na ni fedha za wananchi masikini wa Taifa hili. Ni kweli mradi wa Fly over ni wa muhimu na ni maendeleo kwa nchi lakini unapoleta maendeleo hupaswi kukurupuka na kuharibu vile vya thamani ulivyokuwa navyo awali. Huo utakuwa ulimbukeni na kukurupuka. Nani kasema Fly over lazima inyooke? Kuliko kuvunja jengo la bilioni kadhaa, zingetumika milioni kadhaa kupata mshauri elekezi kutengeneza mchoro wa kukwepesha barabara kwa juu kwa hiyo section isiyozidi hata mita mia moja. Kuliko kuvunja jengo kama majigambo wakati ni hasara. Mbona wenzetu wanaweza kufanya hivyo? Wataalamu wa kufanya hivyo wapo, tusipende wataalamu rahisi wa kubomoa. Oneni mbona hawa wameweza?
 
Kuna mstari ndani ya Biblia Takatifu unasema hivi Yeye aliye mvivu katika kazi yake, Ni ndugu yake mharabu (Mithali 18:9). Hivyo hao wanaotaka kubomoa hilo jengo ni wavivu wa kufikiri, mwisho wanaishia kuwa waharibifu. Maana kwa kazi kubwa kuliko zote Tanzania, wapaswa kufikiri kwa kina katika kutatua changamoto zilizopo na sio kuzalisha matatizo wakati unatatua tatizo lililopo. Kwa kuwa ni mvivu kufikiri, anaishia kuharibu tu.
 
kama utaalamu wa kushauri na kunyoosha michoro mnao,nyoosheni lile banda la njiwa pale ufipa!
Maskini wa mawazo ndio mnaompigia miluzi mingi muhusika mpaka mnasababisha hasara kwa taifa. Unaharibu mabilioni ya shilingi wakati tunaweza ku hire utaalamu kwa milioni mia kadhaa kupata utaalamu wa kupindisha njia ya mradi huo kwa urefu wa mia kadhaa. Kesho tunatumia mabilioni tena kujenga jengo jingine wakati fedha hizo zingeweza kutumika kujenga hospitali kadhaa au mashule.
Huu ni umasikini wa kujitakia, ni sawa na kubomoa nyumba yako ili kujenga banda la mbwa.
 
Maskini wa mawazo ndio mnaompigia miluzi mingi muhusika mpaka mnasababisha hasara kwa taifa. Unaharibu mabilioni ya shilingi wakati tunaweza ku hire utaalamu kwa milioni mia kadhaa kupata utaalamu wa kupindisha njia ya mradi huo kwa urefu wa mia kadhaa. Kesho tunatumia mabilioni tena kujenga jengo jingine wakati fedha hizo zingeweza kutumika kujenga hospitali kadhaa au mashule.
Huu ni umasikini wa kujitakia, ni sawa na kubomoa nyumba yako ili kujenga banda la mbwa.
Ni bora lifanyike hilo kuliko ziingie kwenye mifuko ya kina lowassa!
 
Jengo la Tanesco pale Ubungo limejengwa kwa fedha nyingi kwa mabilioni na ni fedha za wananchi masikini wa Taifa hili. Ni kweli mradi wa Fly over ni wa muhimu na ni maendeleo kwa nchi lakini unapoleta maendeleo hupaswi kukurupuka na kuharibu vile vya thamani ulivyokuwa navyo awali. Huo utakuwa ulimbukeni na kukurupuka. Nani kasema Fly over lazima inyooke? Kuliko kuvunja jengo la bilioni kadhaa, zingetumika milioni kadhaa kupata mshauri elekezi kutengeneza mchoro wa kukwepesha barabara kwa juu kwa hiyo section isiyozidi hata mita mia moja. Kuliko kuvunja jengo kama majigambo wakati ni hasara. Mbona wenzetu wanaweza kufanya hivyo? Wataalamu wa kufanya hivyo wapo, tusipende wataalamu rahisi wa kubomoa. Oneni mbona hawa wameweza?

uko sahihi

Rais anaamua kwa information na knowledge yake

hivi Tanroads kweli wangeenda hapo kabla kwa mkuu na kumwonyesha images na drawings na jinsi jengo litakavyokaa pamoja na barabara alikataa?? nahisi kuna tatizo mahali
 
Jengo la Tanesco pale Ubungo limejengwa kwa fedha nyingi kwa mabilioni na ni fedha za wananchi masikini wa Taifa hili. Ni kweli mradi wa Fly over ni wa muhimu na ni maendeleo kwa nchi lakini unapoleta maendeleo hupaswi kukurupuka na kuharibu vile vya thamani ulivyokuwa navyo awali. Huo utakuwa ulimbukeni na kukurupuka. Nani kasema Fly over lazima inyooke? Kuliko kuvunja jengo la bilioni kadhaa, zingetumika milioni kadhaa kupata mshauri elekezi kutengeneza mchoro wa kukwepesha barabara kwa juu kwa hiyo section isiyozidi hata mita mia moja. Kuliko kuvunja jengo kama majigambo wakati ni hasara. Mbona wenzetu wanaweza kufanya hivyo? Wataalamu wa kufanya hivyo wapo, tusipende wataalamu rahisi wa kubomoa. Oneni mbona hawa wameweza?
Sheria inasemaje?? Zimetungwa na watanzania wenyewe acha zitunyoe!!
Hamna aliyekurupuka, sheria ndo inasema jengo litoke!
 
Jengo la Tanesco pale Ubungo limejengwa kwa fedha nyingi kwa mabilioni na ni fedha za wananchi masikini wa Taifa hili. Ni kweli mradi wa Fly over ni wa muhimu na ni maendeleo kwa nchi lakini unapoleta maendeleo hupaswi kukurupuka na kuharibu vile vya thamani ulivyokuwa navyo awali. Huo utakuwa ulimbukeni na kukurupuka. Nani kasema Fly over lazima inyooke? Kuliko kuvunja jengo la bilioni kadhaa, zingetumika milioni kadhaa kupata mshauri elekezi kutengeneza mchoro wa kukwepesha barabara kwa juu kwa hiyo section isiyozidi hata mita mia moja. Kuliko kuvunja jengo kama majigambo wakati ni hasara. Mbona wenzetu wanaweza kufanya hivyo? Wataalamu wa kufanya hivyo wapo, tusipende wataalamu rahisi wa kubomoa. Oneni mbona hawa wameweza?
Roho za kuharibu na kuangamiza ni za kukemewa maishani
 
Kwa maana hiyo, sisi majengo yetu yaliyo bomolewa hayakuwa na thamani yeyote ile?

Unamuambiaje mtu kama Prof. Jay? Na sisi walala hoi unatuchukuliaje?

Double standards za nini? Nimejipinda nika jenga nyumba, imebomolewa, za wengine zikitakiwa kubomolewa mnazitetea?

Kweli kuna watu wanajali maslahi yao binafsi.
 
Roho za kuharibu na kuangamiza ni za kukemewa maishani
Hivi lingeachwa nyie watu si mngeongea sana kuwa mbona wa kimara wamebomolewa??
Kwa kweli mwisho wa siku acha libomolewe tu maana sheria pia inasema hivyo.
KAMA WAKAZI WA KIMARA WALIBOMOLEWA KWA KUFUATA SHERIA INAVYOSEMA KUHUSU HIFADHI YA BARABARA BASI NA HILO JENGO LAZIMA LIPIGWE CHINI.
Hamna cha DOUBLE STANDARD.
 
Kwa maana hiyo, sisi majengo yetu yaliyo bomolewa hayakuwa na thamani yeyote ile?

Unamuambiaje mtu kama Prof. Jay? Na sisi walala hoi unatuchukuliaje?

Double standards za nini? Nimejipinda nika jenga nyumba, imebomolewa, za wengine zikitakiwa kubomolewa mnazitetea?

Kweli kuna watu wanajali maslahi yao binafsi.
Bavicha wao ni lazima wawe opposite.
"KAZI YA UPINZANI NI KUIPINGA SERIKALI"-Msigwa.
 
Hivi lingeachwa nyie watu si mngeongea sana kuwa mbona wa kimara wamebomolewa??
Kwa kweli mwisho wa siku acha libomolewe tu maana sheria pia inasema hivyo.
KAMA WAKAZI WA KIMARA WALIBOMOLEWA KWA KUFUATA SHERIA INAVYOSEMA KUHUSU HIFADHI YA BARABARA BASI NA HILO JENGO LAZIMA LIPIGWE CHINI.
Hamna cha DOUBLE STANDARD.
Kwakweli katika maisha ni vigumu kuwazuia watu kuongea, cha muhimu ni kufanya kilicho sahihi bila kusikiliza gubu za jirani... Matokeo ya maamuzi yako ndio yataamua nani alikuwa sahihi zaidi
 
Back
Top Bottom