Rais Hussein Mwinyi afanya mapinduzi ya kiuuchumi Zanzibar

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,111
18,327
Zanzibar kwa sasa inakaribua kugraduate kuwa tegemezi kqa serikali ya Tanzania bara iliyo vaa koti la serikali ya muungano.

Amejenga miiundo mbinu ya kisasa kama fly overs, highways, madaraja, viwanja vya ndege , viwanja vya michezo vyenye hadhi ya kimataifa.

Pili amefanya mapinduzi kwenye eneo la mamlaka ya kodi kwa kuipa mamlaka zaudi na kodi inayo kusanywa sasa ni mara tatu ya miaka 3 iliyo pita.


Kuna mradi wa kuzalisha umeme ili zanzibar isitegemee umemewa tanesco na mradi umesha anza.

Amekuwa ni Rais wa maneno machaxhe lakini kazi kubwa.

Hadi natamani kila mkoa ungekua na status ya zanzibar, mikoa kama geita, Njombe, kigoma ingekua mbali sana kiuuchumi.

Heri ya mwaka mpya
 
Zanzibar kwa sasa inakaribua kugraduate kuwa tegemezi kqa serikali ya Tanzania bara iliyo vaa koti la serikali ya muungano.

Amejenga miiundo mbinu ya kisasa kama fly overs, highways, madaraja, viwanja vya ndege , viwanja vya michezo vyenye hadhi ya kimataifa.

Pili amefanya mapinduzi kwenye eneo la mamlaka ya kodi kwa kuipa mamlaka zaudi na kodi inayo kusanywa sasa ni mara tatu ya miaka 3 iliyo pita.


Kuna mradi wa kuzalisha umeme ili zanzibar isitegemee umemewa tanesco na mradi umesha anza.

Amekuwa ni Rais wa maneno machaxhe lakini kazi kubwa.

Hadi natamani kila mkoa ungekua na status ya zanzibar, mikoa kama geita, Njombe, kigoma ingekua mbali sana kiuuchumi.

Heri ya mwaka mpya
Imagine unasema inakaribia kugraduate kutegemea Tanzania bara ili hali mwishoni unatamani tena mikoa ya bara ifanane na zanzibar maana yake zanzibar bado maana pesa za miradi ni za muungano sio pesa zao binafsi..
ni vile serikali imeamua tu keki ya taifa pande kubwa sasa lielekea zanzibar..

Serikali ikiamua pia keki ya taifa pande kubwa iende geita ni mwaka tu geita ni zaidi ya zanzibar itakuwa..

Ingawa kwangu vyovyote ni maendeleo maana mwishowe itayosifiwa ni Tanzania kama nchi.
 
Zanzibar kwa sasa inakaribua kugraduate kuwa tegemezi kqa serikali ya Tanzania bara iliyo vaa koti la serikali ya muungano.

Amejenga miiundo mbinu ya kisasa kama fly overs, highways, madaraja, viwanja vya ndege , viwanja vya michezo vyenye hadhi ya kimataifa.

Pili amefanya mapinduzi kwenye eneo la mamlaka ya kodi kwa kuipa mamlaka zaudi na kodi inayo kusanywa sasa ni mara tatu ya miaka 3 iliyo pita.


Kuna mradi wa kuzalisha umeme ili zanzibar isitegemee umemewa tanesco na mradi umesha anza.

Amekuwa ni Rais wa maneno machaxhe lakini kazi kubwa.

Hadi natamani kila mkoa ungekua na status ya zanzibar, mikoa kama geita, Njombe, kigoma ingekua mbali sana kiuuchumi.

Heri ya mwaka mpya
Huyu wa kwetu naye anajitahidi ...maana anakula na kwa bidii
 
Back
Top Bottom