Kwani cha usiku na cha alfajiri kipi kitamu?

Kwani cha usiku na cha alfajiri kipi kitamu?

Mara nyingi tupandapo vitandani mwetu baada ya mishemishe za siku nzima huwa tumechoka kwahiyo hata ile makitu hatuifaidi kivile, lakini ukiupa mwili muda wa kupumzika na ukaidamkia dayb na kile kibaridi chake ladha na utamu wake huongezeka mara dufu
Japo kuna wakati pia cha kulalia nacho kina hamu zake hasa kama siku hiyo huna stress na umemkuta mwenzi wako keshajiandaa
Magufuli anakazi sana
 
Tatizo nyie mnakaa mijini (Dar) sie huku mikoani ikifika weekend mnaweza mkawa kila mtu na mishe zake but jioni sasa!! Mnatoka evening walk, mnafika mahali pembeni kabisa mwa mji sehemu iko safe kwenu, mnatulia hapo mnapiga story na vinginevyo kama mmebeba then huku na kule mnajikuta mnakamua cha kinguo nguo hahahaaaaa!!

Utaona mwenzi wako kila weekend analazimisha evening walk hata kama hutaki!! Cha porini ni nomaaaa, jaribu uone
..hahahaa don't do this at home,..
 
Mie sio kaka, mbona hilo jina simple tuu ukikosea unatamka kunde heheheeeee ukiona tabu sana we ita MO tuu ndo mie orijinale.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
cha porini
cha jikoni
cha sitting room
cha dining
cha usiku
cha asubuhi
cha mchana
cha wizi
cha bure
cha ugomvi
cha kusuluhisha
[emoji12]
Cha chooni
Cha bafuni
Cha garini
Cha mtoni
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Ukirudi umechoka cha alfajiri ndo kiko poa sana na kinakuamsha na mizuka ya kupiga kazi.

Ukiwa fiti cha usiku kinakulaza unono mpaka asubuhi.
 
"Chakula" huliwa muda wowote kutegemeana na nafasi na maandalizi!
 
Aaah lakini morning glory achana nayo. Tena sio ya alfajiri ile ya asubuh kabisa ushavaa suti yako na tai halafu anavivua vyote unapiga cha fasta hadi unachelewa kazini
Shikamoo baba!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ukirudi umechoka cha alfajiri ndo kiko poa sana na kinakuamsha na mizuka ya kupiga kazi.

Ukiwa fiti cha usiku kinakulaza unono mpaka asubuhi.
Huu ndio muda sahihi wa morning glory
 
Shikamoo baba!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
1470799536117.jpg
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
1470799541963.jpg
[emoji116] [emoji116] [emoji116]
Marahaba...! Yaani
Umenifuata mpaka huku..!
Haya toka haraka kajiandae uende tuisheni!
 
Back
Top Bottom