Kwani cha usiku na cha alfajiri kipi kitamu?

Kwani cha usiku na cha alfajiri kipi kitamu?

Kwa wale wanaotafuta watoto, nasikia adhuhuri risasi huwa zinakuwa nzuri sana na zenye shabaha. Pia mchana unaweza pata mtoto.. ila jioni risasi huwa zinakuwa goigoi sana...

Hii elimu watu wengi wanaipuuza na ndio wenye ndoa zenye matatizo.. mambo ya kitoto kitoto kama haya ndio huleta raha. sometimes unaanzisha halafu hata humalizii, mwambie hadi jioni.. ila onyesha upendo na hakikisha mchana unamtextvya kutosha tena stiry za kutunga kibao.. hakuna kitu wanacho penda wanawake kama dirty story (kwa walio ona tuu),

Kuna ndoa zina tisha, ratiba utafikiri ni shule ya bording siku za kula nyama.. haya mambo huwezi kuyapata darasani pale mlimani, hata kama ni layer jifunze, upate raha ya ndoa..
 
mimi usiku nikipata chai, napata raha sana, ila alfajiri sijawahi kula!
ila chakula nikipendacho sana ni wali kuku!
 
Aaah lakini morning glory achana nayo. Tena sio ya alfajiri ile ya asubuh kabisa ushavaa suti yako na tai halafu anavivua vyote unapiga cha fasta hadi unachelewa kazini

mkuu jana mchumba kaachwa na gar bas ya dar.sababu ya chakula cha alfajr
yaan alshajvika kila kitu had kanzu na ushungi kichwan..ila....
 
Mara nyingi tupandapo vitandani mwetu baada ya mishemishe za siku nzima huwa tumechoka kwahiyo hata ile makitu hatuifaidi kivile, lakini ukiupa mwili muda wa kupumzika na ukaidamkia dayb na kile kibaridi chake ladha na utamu wake huongezeka mara dufu
Japo kuna wakati pia cha kulalia nacho kina hamu zake hasa kama siku hiyo huna stress na umemkuta mwenzi wako keshajiandaa

hii nayo ni sehemu ya kukongoroana mjue!

mnatakiwa mpate diet ya maana baada ya kutembezana kilomita saba...!

usione mtu anatoka jasho ukadhani anapenda...!!!
 
Bora wanyegeke wenye wapenzi wao......ila kwa wale masingle nachelea kusema wengine wataishia kimboka kama sio kwa mahausi gelo na mahausi boi!

mmmhhh... umerusha jiwe gizani..!!!
 
niko standby silali nasubiri cha dayb
 
Watoto wengi huzaliwa usiku kwa sababu mimba nyingi hutunga usiku! Asikwambie mtu penzi la usiku ni tamu sana umemaliza kula umepumzisha mwili unatoka kuoga unakutana na wife ww unagongana nae theni unamkumbatia kwa raha zote na usingizi swafi hakuna ndoto za ajabu! Asubuhi mishemishe nyingi unawahi usafiri, chai, kunyoosha, nk
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Back
Top Bottom