City hunter j
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 926
- 380
Marginal ndiy nouma.ile mmeshamaliza thn mnapata 1 more
Mkuu, utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe - iwe ni usiku au mchana ni wewe tu.Aaah lakini morning glory achana nayo. Tena sio ya alfajiri ile ya asubuh kabisa ushavaa suti yako na tai halafu anavivua vyote unapiga cha fasta hadi unachelewa kazini
mmmmm, kama ni noma mie sitaki hata kujaribuTatizo nyie mnakaa mijini (Dar) sie huku mikoani ikifika weekend mnaweza mkawa kila mtu na mishe zake but jioni sasa!! Mnatoka evening walk, mnafika mahali pembeni kabisa mwa mji sehemu iko safe kwenu, mnatulia hapo mnapiga story na vinginevyo kama mmebeba then huku na kule mnajikuta mnakamua cha kinguo nguo hahahaaaaa!!
Utaona mwenzi wako kila weekend analazimisha evening walk hata kama hutaki!! Cha porini ni nomaaaa, jaribu uone
Mkuu, utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe - iwe ni usiku au mchana ni wewe tu.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]long time agoMara nyingi tupandapo vitandani mwetu baada ya mishemishe za siku nzima huwa tumechoka kwahiyo hata ile makitu hatuifaidi kivile, lakini ukiupa mwili muda wa kupumzika na ukaidamkia dayb na kile kibaridi chake ladha na utamu wake huongezeka mara dufu
Japo kuna wakati pia cha kulalia nacho kina hamu zake hasa kama siku hiyo huna stress na umemkuta mwenzi wako keshajiandaa