Aste AsteWanaokuja na madai hayo wanathibitisha kuwa ni mabogazi vichwani.
Kama wanaweza kuwa na uhakika wa hayo madai yao hawaoni kuwa wanazidi kuonyesha kuwa serikali wanayoitetea ni dhaifu na imelekea kama uzi? Kama kuna watu wamehongwa, je serikali ipo wapi??? Inarembuarembua tu au?