ccm mwanz mwisho
Kwangu kuna kula 30 na zaid za Lowassa.
Wafanyakaz wangu karinu wote 20 ni UKAWA tena mim uwa wananiona mccm. Mama yangu ukawa.wadogo zangu 3wote ukawa mke wangu ukawa kaka yangu ukawa na marafiki zangu wa karibu wapatao watu ni ukawa balaa
Jamani watanzania hebu kuweni watu wa vitendo zaidi na si maneno mengiiiii!
Mimi hapa kwangu kuna kura NNE safi za lowassa na ukawa! Mimi na wanangu wawili ni tangu mwanzo, kura ya mke wangu ilisumbua sana maaana miaka yote haoni umuhimu wa kupiga kura. Nilimuuzia Sera zote akazipangua.
Mwishoe nikamwambia kuwa sasa atafute pesa za michango ya shule, maana mimi nimechoka kulipa ndiyo maana nimeamua kuwachagua wale wanaotoa elimu bure bila michango.
Wee! mbona aliulizia Siku ya kupiga kura! Sasa ana munkari baraa!
Wewe kwako kuna kura ngapi?
kwangu sifuri = 0 za lowasa, ila za Magufuli zipo 20
ukawa 3 uhakika kwangu.
Mimi kwangu zipo 2 za uwakika mimi na wife ila nina Shaka na ya 3 ya kijana Wangu Wa Dukani kwangu
Vipi nimwiibie kichinjio? Maana hakuna namna nyingine, nimeshamwimbia kumpigia ukawa hataki
Nimwiibie kichinjio?