Mchokoo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 1,188
- 1,604
Jamani watanzania hebu kuweni watu wa vitendo zaidi na si maneno mengiiiii!
Mimi hapa kwangu kuna kura NNE safi za lowassa na ukawa! Mimi na wanangu wawili ni tangu mwanzo, kura ya mke wangu ilisumbua sana maaana miaka yote haoni umuhimu wa kupiga kura. Nilimuuzia Sera zote akazipangua.
Mwishoe nikamwambia kuwa sasa atafute pesa za michango ya shule, maana mimi nimechoka kulipa ndiyo maana nimeamua kuwachagua wale wanaotoa elimu bure bila michango.
Wee! mbona aliulizia Siku ya kupiga kura! Sasa ana munkari baraa!
Wewe kwako kuna kura ngapi?
Mimi hapa kwangu kuna kura NNE safi za lowassa na ukawa! Mimi na wanangu wawili ni tangu mwanzo, kura ya mke wangu ilisumbua sana maaana miaka yote haoni umuhimu wa kupiga kura. Nilimuuzia Sera zote akazipangua.
Mwishoe nikamwambia kuwa sasa atafute pesa za michango ya shule, maana mimi nimechoka kulipa ndiyo maana nimeamua kuwachagua wale wanaotoa elimu bure bila michango.
Wee! mbona aliulizia Siku ya kupiga kura! Sasa ana munkari baraa!
Wewe kwako kuna kura ngapi?