Kwako kuna kura ngapi za Lowassa na UKAWA?

Kwako kuna kura ngapi za Lowassa na UKAWA?

Mchokoo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
1,188
Reaction score
1,604
Jamani watanzania hebu kuweni watu wa vitendo zaidi na si maneno mengiiiii!

Mimi hapa kwangu kuna kura NNE safi za lowassa na ukawa! Mimi na wanangu wawili ni tangu mwanzo, kura ya mke wangu ilisumbua sana maaana miaka yote haoni umuhimu wa kupiga kura. Nilimuuzia Sera zote akazipangua.
Mwishoe nikamwambia kuwa sasa atafute pesa za michango ya shule, maana mimi nimechoka kulipa ndiyo maana nimeamua kuwachagua wale wanaotoa elimu bure bila michango.
Wee! mbona aliulizia Siku ya kupiga kura! Sasa ana munkari baraa!
Wewe kwako kuna kura ngapi?
 
Mimi kwangu zipo 2 za uwakika mimi na wife ila nina Shaka na ya 3 ya kijana Wangu Wa Dukani kwangu
Vipi nimwiibie kichinjio? Maana hakuna namna nyingine, nimeshamwimbia kumpigia ukawa hataki
Nimwiibie kichinjio?
 
Kwa babu yangu mzee ndinanga watoto hamsini wajukuu tupo miambili jumla ya faminilia yetu ni 300 kura zooote lowasa na woote tumejiandikisha na tume hakiki woote tupo gado
 
Kwangu zipo tatu mpaka sasa, moja bado haijathibitisha naendelea kushawishi
 
sisi moshi nzima tuko ukawa, so tuna kura zaid ya laki
 
Yangu na wadogo zangu wawili ,aunties n uncles,pia na grandma = kura 11
 
Back
Top Bottom