William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
Ndugu William kwani huyo anayechaguliwa kushika nafasi zote mbili ana miaka 300? Alijifunza wapi kuw Rais na mwenyekiti wa chama kwa pamoja? Na huko alikojifunzia alikuwa peke yake?. In maana Tanzania hatuna uwezo sasa hivi wa kutengeza utaratibu ili kila mtu awe na area of focus badala ya huu mfumo wa kachumbari? Kenya wamepata Uhuru baada ya sisi na tayari wako mbele ki-mfumo, pamoja na matatizo ya baadhi lakini you can see these guys are on the move. Sisi tumebaki na huu umbilikimo wa mawazo -wachanga hili wachanga lile. Nakataa hoja.
- Well, siasa za vyama vinaongozwa na katiba ya vyama hata huko Kenya wanaongozwa na katiba ya chama kwa hiyo kiongozi anayechaguliwa hahitaji kuseoma anything zaidi tu ya kusoma katiba, Kenya walianza na itikadi za kibepari sisi tulianza na itikadi za kijamaa, ambazo zilishindwa kwenye vita na za kibepari, sasa ya Kenya kwua mbele yasikushangaze sana, ingawa it can be debated of what hasa wako mbele yetu!
- Kwa maoni yangu bado CCM tunahitaji Mwenyekiti kuwa mgombea u-Rais.
William @ NYC, USA.