Kwako Babu Mpendwa 💕

Kwako Babu Mpendwa 💕

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,801
Reaction score
43,177
Leo ni Alhamisi alfajiri...

Nikiwa na akili zangu timamu, natumia safu hii kuutarifu uma wa JF kuwa....

Kasinde ni chombo halali ya Babu kuanzia mwezi Mei 2022.

Baada ya hicho kibwagizo sasa acha niendelee na salamu zangu kwa Babu.

Babu....

Kwanza kabisa nakupenda, najua wajua hilo.
Ulishaniambia kuwa, hili neno nakupenda nilishawaambia wengi huko nyuma ila kwako iwe ndo mwisho. Asitokee mwingine wa kumwambia hivyo hadi pale tutaporudisha namba kwa Muumba.

Butiama ndo makazi yetu mapya na huko ndo tumeamua kustaafu, najua wote (mimi na wewe) si wenyeji wa Butiama ila kwa Mahaba yaliyo kati yetu, Butiama ndo mahala tutaendelea kuzeeshana hadi pale kitapokatikia...

Hakika nakupenda asilani, umeniteka nimekuteka tumetekana.

Vile tumezungukwa na hali ya hewa ya asili, mifugo basi nasikia raha kila kuchwapo uniamshapo kunibariki na kimoko....

Sijilaumu kuchelewa kujuana na wewe ila namshukuru Maulana kwa kunipa haja ya moyo wangu.
Ni wasaaa muafaka tule pensheni zetu kwa afya, raha na maisha yetu na kuwaachia wajukuu zetu urithi maridhawa.

Najua hizi sio pigo zako, ila sikiliza sauti na maneno tuu babu yangu.



Babu, zingatia hapo, “what I feel.....”

Nakupenda Babu yangu mpenzi.

Acha nikakuandalie stafutahi 💕.

Wako mpendwa, Kasie.

NB: 1. wako wataosema kimoyomoyo kuwa na huyu ntaachana tuu.
2. Wengine bibi kilomita zinasoma ngapi
3. Huyu ndo yule wa siku zote / huyu ni mpya / huyu ni yupi.

😊 huyu anaitwa Babu wa Kasie wanaestaafu pamoja kijijini Butiama.

Alhamisi njema. 😉
 
Subiri, mambo mazuri hayataki haraka, japo ngoja ngoja yaumiza tumbo ila pole pole ndo mwendo pia haraka haraka haina baraka .......😅 na

Simba mwenda pole ndo mla nyama.
Chelewa chelewa utakuta mwana si wako 😅
 
Leo ni Alhamisi alfajiri...

Nikiwa na akili zangu timamu, natumia safu hii kuutarifu uma wa JF kuwa....

Kasinde ni chombo halali ya Babu kuanzia mwezi Mei 2022.

Baada ya hicho kibwagizo sasa acha niendelee na salamu zangu kwa Babu.

Babu....

Kwanza kabisa nakupenda, najua wajua hilo.
Ulishaniambia kuwa, hili neno nakupenda nilishawaambia wengi huko nyuma ila kwako iwe ndo mwisho. Asitokee mwingine wa kumwambia hivyo hadi pale tutaporudisha namba kwa Muumba.

Butiama ndo makazi yetu mapya na huko ndo tumeamua kustaafu, najua wote (mimi na wewe) si wenyeji wa Butiama ila kwa Mahaba yaliyo kati yetu, Butiama ndo mahala tutaendelea kuzeeshana hadi pale kitapokatikia...

Hakika nakupenda asilani, umeniteka nimekuteka tumetekana.

Vile tumezungukwa na hali ya hewa ya asili, mifugo basi nasikia raha kila kuchwapo uniamshapo kunibariki na kimoko....

Sijilaumu kuchelewa kujuana na wewe ila namshukuru Maulana kwa kunipa haja ya moyo wangu.
Ni wasaaa muafaka tule pensheni zetu kwa afya, raha na maisha yetu na kuwaachia wajukuu zetu urithi maridhawa.

Najua hizi sio pigo zako, ila sikiliza sauti na maneno tuu babu yangu.



Babu, zingatia hapo, “what I feel.....”

Nakupenda Babu yangu mpenzi.

Acha nikakuandalie stafutahi 💕.

Wako mpendwa, Kasie.

NB: 1. wako wataosema kimoyomoyo kuwa na huyu ntaachana tuu.
2. Wengine bibi kilomita zinasoma ngapi
3. Huyu ndo yule wa siku zote / huyu ni mpya / huyu ni yupi.

😊 huyu anaitwa Babu wa Kasie wanaestaafu pamoja kijijini Butiama.

Alhamisi njema. 😉

Ahsante sana mjukuu kwa kunipenda
Nami nakipenda sana mjukuu wangu
Mahaba ndi ndi ndi.....💞
 
Subiri, mambo mazuri hayataki haraka, japo ngoja ngoja yaumiza tumbo ila pole pole ndo mwendo pia haraka haraka haina baraka .......😅 na

Simba mwenda pole ndo mla nyamal. LOOOO MAPEMZI BILA EXPIRIENCE NINUMALAYA ASSNTE nini nenda Kwa amani ila ishu maisha ya furaha HAKA KIBWAGIZO CHA Mondi na Mboso. KINAWAHUSU ......Babu mkubwa nazi mambo yote hadharani Kuna ka Dawa kakubost Rungu nitakupatia
 
Ahsante sana mjukuu kwa kunipenda
Nami nakipenda sana mjukuu wangu
Mahaba ndi ndi ndi.....💞

Babuuuuu umeshindwa kujizuia kama kikohozi looh looh kooh...

Na ungejizuia zaidi ungepiga chafya aahahahahahaa

Mahaba ndii ndii ndiii kwa Babu wa Kasie.
 
Hivi mapenzi hayanaga low season tukapumua kidogo Kasie?

Au niache wivu 😁😁🤣🤣🤣?

All the best dada.

Aahahahahhahaaa Karuuu nimechekaaaa...!

Kuna mtu aliniambia asili inamambo mengi sana ukitulia.

Tangu vile naitwa Kasie Mahaba Matata, basi asili hainiachi salama.

Huwa hayapoiiiii ni moto moto yaani 😆😆😆😆.
 
Kasinde nitakuja Butiama kunywa maziwa....

Ila utaniandalia na 'cha Butiama' pia

Aahahahahhaaaaa watuuu nimechekaaaaa.....

Huku utakuja kwa mualiko wa Babu, maana yeye ndo mwenye himaya.

Ukipata mualiko usisahau kuja na Msafiri na akuje na ile Nissan nyeupe yake ...😆😆😆😆😆

Happy Thursday sugar sukari ya warembo wa JF 😉.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom