PetCash
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,997
- 1,998
Jamani mi ndo natoka kwenye hii kompyuta ambayo kampuni imenipa ili nifanyie kazi, lakini mimi sometimes naitumia kuingilia Jf na kuanza kuwaponda mafisadi wezi wa fedha za wananchi. Asanteni kwa sababu mlinishauri vyema asubuhi kuhusu nauli japo msaada wenu ni wa kimawazo zaidi na si kivitendo....BYE!