Kwaheri utumishi wa Umma

Kwaheri utumishi wa Umma

Habari za jioni.

Nipo mbioni kukusanya vilago vyangu kwenda kijijini kulijenga Taifa. Nimefanya kazi Kwa miaka 14 sasa.

Nakumbuka msemo wa kisicho riziki hakiliki. Nimwpambana vya kutosha kusalia kazini lakini mikono ya kupora riziki yangu imekuwa mingi na Kwa kasi kubwa.

Cha kushangaza wafanyakazi wenzangu nilikuwa nikiwaona wakifanya uhalifu na kuihujumu serikali bila woga na nilikaa kimya kuogopa kuwaharibia kazi zao.

Lakini hao hao wamekuwa wakali na wepesi sana katika kufuatilia vikosa vidogo sana nilivyofanya hadi kufikia kuniharibia Kwa mwajiri. Moyo wangu bila kushawishiwa na nikiwa na akili timamu unaniambiwa nipumzike nifanye mengine Kwa maana furaha yao mm nikose kazi. Sina option inabidi niache tu nisiwe kero kwa wengine.

Kwaherini my friends.
sisi friends zako hatujaaiwa,tuambie hodi tukuitikie karibu mkuu...maana unapokuja ndo huku tupo sio huko unapotoka[emoji50]‍[emoji100][emoji50]‍[emoji100] ila pole,i know how it means to lose a job[emoji1781]
 
Habari za jioni.

Nipo mbioni kukusanya vilago vyangu kwenda kijijini kulijenga Taifa. Nimefanya kazi Kwa miaka 14 sasa.

Nakumbuka msemo wa kisicho riziki hakiliki. Nimwpambana vya kutosha kusalia kazini lakini mikono ya kupora riziki yangu imekuwa mingi na Kwa kasi kubwa.

Cha kushangaza wafanyakazi wenzangu nilikuwa nikiwaona wakifanya uhalifu na kuihujumu serikali bila woga na nilikaa kimya kuogopa kuwaharibia kazi zao.

Lakini hao hao wamekuwa wakali na wepesi sana katika kufuatilia vikosa vidogo sana nilivyofanya hadi kufikia kuniharibia Kwa mwajiri. Moyo wangu bila kushawishiwa na nikiwa na akili timamu unaniambiwa nipumzike nifanye mengine Kwa maana furaha yao mm nikose kazi. Sina option inabidi niache tu nisiwe kero kwa wengine.

Kwaherini my friends.
Hujawahi kuloga wewe
 
Hiyo situation tushapitia sasa sisi tuloingia wadogo kazini chokochoko ni nyingi mno sana I was at the climax as your thoughts but still nadunda nilishawahi kuwa na mawazo hayo maana maji yalifika shingoni na hatua moja nikianza kuleft magroup Kuna jamaa akashtuka siku moja nilileft magroup kama matatu ya ofisi anaifuata nikamtonya fully maana alikuwa mwana sana ananielewa.

Nikaja kutambua sister mmoja mmbea mmbea sana alikuwa kunisanua kwamba we unapiga kazi sana punguza wenzio hawapendi ndo maana wanaslow down kwa kukuchomea ...kingine nilikuwa napigwa madongo ya live kweny magroup huku naona basi nilipoleft nikianza kupata amani ya moyo maana hata wakisema sijui ....nipo mpaka sasa kipind kilipita tu nimekuwa Nina segment ndogo haswa nasalimiana na watu wazima watu wa umri wangu Wana chokochoko na wivu kwa sana.
 
Kuna dada mmoja aliniharibia kazi mwaka 2017 mpaka leo mwaka wa 5 ndani ya ndoa hana mtoto. Mkuu, karma is real. Kuna siku, baada ya miaka 3 hao hao watatafuta namba zako za simu kutaka kukuomba radhi. Mark my words.
Pole sana mkuu Kuna watu ni wakatili sana aisee, kumharibia mtu future wao wanachukulia simple tuu..
 
Habari za jioni.

Nipo mbioni kukusanya vilago vyangu kwenda kijijini kulijenga Taifa. Nimefanya kazi Kwa miaka 14 sasa.

Nakumbuka msemo wa kisicho riziki hakiliki. Nimwpambana vya kutosha kusalia kazini lakini mikono ya kupora riziki yangu imekuwa mingi na Kwa kasi kubwa.

Cha kushangaza wafanyakazi wenzangu nilikuwa nikiwaona wakifanya uhalifu na kuihujumu serikali bila woga na nilikaa kimya kuogopa kuwaharibia kazi zao.

Lakini hao hao wamekuwa wakali na wepesi sana katika kufuatilia vikosa vidogo sana nilivyofanya hadi kufikia kuniharibia Kwa mwajiri. Moyo wangu bila kushawishiwa na nikiwa na akili timamu unaniambiwa nipumzike nifanye mengine Kwa maana furaha yao mm nikose kazi. Sina option inabidi niache tu nisiwe kero kwa wengine.

Kwaherini my friends.
Maish ni vita pambana mkuu usikubali kupoteza ajira HV hvh

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kama una familia na huna salio la kutosha wala huna cha kufanya baada ya kuacha kazi,jiandae mkeo kutafunwa kavukavu.
Uamuzi ni wako kusuka au kunyoa.
 
Huko makazini watu wanakosea sana. Kule hakunaga mambo ya urafiki,,we chapa kazi maindi bzness zako fullstop. Mambo ya kuleta urafiki na ushikaji ndo yanaponza wengi.

Kiujumla hakuna mfanyakzi anayemtakia mema mwenzake naww hata ukiona mtu anakuchekeachekea ujue hamna kitu hapo ni unafiki tu wa kiafrika huo.
 
Kama una familia na huna salio la kutosha wala huna cha kufanya baada ya kuacha kazi,jiandae mkeo kutafunwa kavukavu.
Uamuzi ni wako kusuka au kunyoa.
Yaani wabongo tuna akili za ovyo.....kila siku mnawaza wanawake tu......JAMANI MWANAMKE HANA FORMULA....kama ni wakumegwa atamegwa tu atakama unazo pesa
 
Huko makazini watu wanakosea sana. Kule hakunaga mambo ya urafiki,,we chapa kazi maindi bzness zako fullstop. Mambo ya kuleta urafiki na ushikaji ndo yanaponza wengi.
Mkuu, ukifanya hivi watakuundia hoja kuwa hauwezi kuishi vizuri na wenzako. Hivyo wewe hauna ushirikiano mwema kazini. Solution ni moja tu ambayo ni kufanya savings ya kipato chako.
 
Hasa utumishi, afadhari Tamisemi kidogo maana ni wakuteseka na shida zao wenyewe hawalii na mtu
Huko makazini watu wanakosea sana. Kule hakunaga mambo ya urafiki,,we chapa kazi maindi bzness zako fullstop. Mambo ya kuleta urafiki na ushikaji ndo yanaponza wengi.

Kiujumla hakuna mfanyakzi anayemtakia mema mwenzake naww hata ukiona mtu anakuchekeachekea ujue hamna kitu hapo ni unafiki tu wa kiafrika huo.
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom