Kwaheri utumishi wa Umma

Kwaheri utumishi wa Umma

Hakuna sehemu ngumu kumfukuza mtumishi kazi kama TAMISEMI.

Unless Huyo mtumishi mwenyewe afanye makosa ya wazi kiasi kwamba hata maadui hawawezi kutumia nguvu kukushughulikia.

Mfano, mtu ANALEWA mpaka haingii kazini MWEZI mzima.
Hata ukae miezi mitatu bado wadau watakuita watakusaka tu almradi wakurudishe mstarini.....Yupo mtumiahi alifungwa jela na bado karudi kazini
 
Yaani wabongo tuna akili za ovyo.....kila siku mnawaza wanawake tu......JAMANI MWANAMKE HANA FORMULA....kama ni wakumegwa atamegwa tu atakama unazo pesa
Wanawake ndio maua ya kupendezesha dunia,ndio wafariji wetu,ndio utamu wetu,ndio mama/dada/shangazi zetu wewe unataka tuwaze kitu gani zaidi.?
Kila mtu ana uchaguzi wake wa kuwaza apendacho.
 
Habari za jioni.

Nipo mbioni kukusanya vilago vyangu kwenda kijijini kulijenga Taifa. Nimefanya kazi Kwa miaka 14 sasa.

Nakumbuka msemo wa kisicho riziki hakiliki. Nimepambana vya kutosha kusalia kazini lakini mikono ya kupora riziki yangu imekuwa mingi na Kwa kasi kubwa.

Cha kushangaza wafanyakazi wenzangu nilikuwa nikiwaona wakifanya uhalifu na kuihujumu Serikali bila woga na nilikaa kimya kuogopa kuwaharibia kazi zao.

Lakini hao hao wamekuwa wakali na wepesi sana katika kufuatilia vikosa vidogo sana nilivyofanya hadi kufikia kuniharibia Kwa mwajiri. Moyo wangu bila kushawishiwa na nikiwa na akili timamu unaniambia nipumzike nifanye mengine Kwa maana furaha yao mimi nikose kazi. Sina option inabidi niache tu nisiwe kero kwa wengine.

Kwaherini my friends.
Kama una biashara iliyosimama, nyumba ya kuishi na 100m cash. Achana na kazi yao
 
Hata ukae miezi mitatu bado wadau watakuita watakusaka tu almradi wakurudishe mstarini.....Yupo mtumiahi alifungwa jela na bado karudi kazini
Halmashauri, mamlaka ya kumfukuza kazi mtumishi hayako chini ya fisi moja, idara moja au sehemu moja. Ndio maana ni ngumu kumfukuza kazi mtumishi kimchongo. Kwasababu watu wote hawawezi kuwa na beef na wewe kwa chuki tu.

  • Kuna msimamizi wako was kazi ( In charge )
  • Kuna Mkuu wako wa Idara.
  • Kuna Utumishi ( DED) na kamati ya maadili.
  • Hata DED akitaka kukufuta kazi, ni mpaka aitishe kikao cha baraza LA madiwani ndio liazimie. Na baraza LA madiwqni lazima wakuite wakusikilize.

Sasa, wengine mkiitwa hamuendi.

Watu wote hao hawawezi kubwa na chuki na wewe.
 
1. Kaprint statement ya psssf, jikaze ufikishe michango 180 kisha

2. Omba likizo ya bila malipo ya miaka miwili kwa kuanzia.

3. Kabla ya kuandika barua, ongea ni mkuu wako kumwambia nia yako ukiwa na sababu za msingi.

4. Biashara zikitiki unaandika barua ya kuacha kazi rasmi, na zkizngua unaomba kurudi kazini kama nafasi ipo wataresume.

Nakutakia kila jema.
 
1. Kaprint statement ya psssf, jikaze ufikishe michango 180 kisha

2. Omba likizo ya bila malipo ya miaka miwili kwa kuanzia.

3. Kabla ya kuandika barua, ongea ni mkuu wako kumwambia nia yako ukiwa na sababu za msingi.

4. Biashara zikitiki unaandika barua ya kuacha kazi rasmi, na zkizngua unaomba kurudi kazini kama nafasi ipo wataresume.

Nakutakia kila jema.
Likizo bila malipo nitakubaliwa kama Nina Mikopo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom