Kwaheri Assumpta Mshama - Mbunge wa Nkenge

Kwaheri Assumpta Mshama - Mbunge wa Nkenge

Ishebo

Member
Joined
Apr 17, 2013
Posts
78
Reaction score
18
Mungu ni mwema, sakata la ESCROW account lilimfanya mbunge wa Nkenge Assumpta Mshama kujivua nguo kwa wananchi wake, pamoja na kubomolewa kwa ngome kongwe jimboni humo, lakini pia hata kwa sasa mikutano yake ni kama kliniki za vikongwe, jana nimeshuhudia watu wamekaa, hawafiki 40, meza kubwa tu, na marangi ya kijani.

MUNGU NI MWEMA. Kwa heri Assumpta, kwa heri CCM.
 
Tupe Na Matokeo Ya Serikali Za Mitaa Uliofanyika Hivi Karibuni Kama Kielelezo Cha Haya Unayotuambia!!! Kama SI Hivyo Tutasema Ni Majungu Tu
 
Huyu kapingana na.mkulu wa nchi atabaki salama kwel?
 
Tupe Na Matokeo Ya Serikali Za Mitaa Uliofanyika Hivi Karibuni Kama Kielelezo Cha Haya Unayotuambia!!! Kama SI Hivyo Tutasema Ni Majungu Tu

Kielelezo alipigwa chini mji wake huko chini ya UKAWA naye alijitahidi kuvuruga uchaguzi yeye na mkuu wa wilaya bila mafanikio kwani alujaribu kupiga kura bila kujiandisha eti kwa wadhifa wake anapigia kokote. Vijana na wakala walisimama sawa sawa .
 
Kielelezo alipigwa chini mji wake huko chini ya UKAWA naye alijitahidi kuvuruga uchaguzi yeye na mkuu wa wilaya bila mafanikio kwani alujaribu kupiga kura bila kujiandisha eti kwa wadhifa wake anapigia kokote. Vijana na wakala walisimama sawa sawa .

Noted!! Ile Dhambi BMK, Escrow Itawatafuna Hadi Waombe Radhi, Naona Dr Mrema Kaanza Kuleta Sura Ya Kuhurumiwa Eti Kaambiwa Ana HIV Na Mbatia!!!
 
Huyu Dada kwenye Bunge la kujadili ripoti ya kamati ya Mhe zitto alijivua nguo maana alipopata nafasi ya kuchangia aliropoka sana akamrukia Zitto lakini akaangukia pua alipotakiwa kufuta kauli yake au alete ushahidi. baadae taarifa tulizopata ni kuwa alirambishwa 5m ili aropoke kumtetea home boy wake Ruge na Ponjoro wa kashmir.Nadhani wananchi wa Nkenge watakuwa wametenda haki wakimbwaga ili Mhe huyu arudi kwenye kazi yake ya kugawa chai magogoni.
 
Huyu Dada kwenye BMK alijivua nguo maana alipopata nafasi ya kuchangia aliropoka sana akamrukia Zitto lakini akaangukia pua alipotakiwa kufuta kauli yake au alete ushahidi. baadae taarifa tulizopata ni kuwa alirambishwa 5m aliropoke kumtetea home boy wake Ruge na Ponjoro wa kashmir.Nadhani wananchi wa Nkenge watakuwa wametenda haki wakimbwaga ili Mhe huyu arudi kwenye kazi yake ya kugawa chai magogoni.

Halikuwa bunge la katiba
 
mungu ni mwema, sakata la escrow account lilimfanya mbunge wa nkenge assumpta mshama kujivua nguo kwa wananchi wake, pamoja na kubomolewa kwa ngome kongwe jimboni humo, lakini pia hata kwa sasa mikutano yake ni kama kliniki za vikongwe, jana nimeshuhudia watu wamekaa, hawafiki 40, meza kubwa tu, na marangi ya kijani. Mungu ni mwema. Kwa heri assumpta, kwa heri ccm.
weka picha
 
Asante studio.
Huyu mama acha akafie mbele, sijawhi kuona mwanamke mweupe namna ile, hata mumewe nahisi anajisikia aibu mbele ya wanaume wenzake kuwa na mke ambaye ni mweupe hivyo, yaani jamaa atakuwa anajihisi uwezo wake wa kutongoza ni mdogo, maana kumtongoza mtu mwenye uwezo finyu namna hiyo inaashiria hukutumia nguvu nyingi sana kumshawishi.
AKAFIE MBELE HUKO.
 
weka picha
Picha ya nini? kwa uwezo ule alionyesha kwenye mjadala wa ESCROW wewe binafsi angekuita kwenye mkutano wake ungeenda?
Halafu wewe GEOMATICIAN gani wewe mbona unaoneka ni mweupe sana, Mbona sisi tuliosoma GEOINFORMATICS, GEODESY hatuko weupe hivyo?
Siku zote GM, GI & GS tuko vizuri sana
 
Back
Top Bottom