Mungu ni mwema, sakata la ESCROW account lilimfanya mbunge wa Nkenge Assumpta Mshama kujivua nguo kwa wananchi wake, pamoja na kubomolewa kwa ngome kongwe jimboni humo, lakini pia hata kwa sasa mikutano yake ni kama kliniki za vikongwe, jana nimeshuhudia watu wamekaa, hawafiki 40, meza kubwa tu, na marangi ya kijani.
MUNGU NI MWEMA. Kwa heri Assumpta, kwa heri CCM.
Ingekuwavyema ungemalizia alalepema peponi sisi atunaubaya
mkuu mbona unataka kuwadhalilisha wazee?Mungu ni mwema, sakata la ESCROW account lilimfanya mbunge wa Nkenge Assumpta Mshama kujivua nguo kwa wananchi wake, pamoja na kubomolewa kwa ngome kongwe jimboni humo, lakini pia hata kwa sasa mikutano yake ni kama kliniki za vikongwe, jana nimeshuhudia watu wamekaa, hawafiki 40, meza kubwa tu, na marangi ya kijani.
MUNGU NI MWEMA. Kwa heri Assumpta, kwa heri CCM.
Inawezekana ni kweli lakini mbona anajiaibisha vile.au ni punguaniYeye na bwana wake Julius Mshama wana mang`ombe mengi yake pale Kijiji cha Mtanana upande wa kaskazini mwa barabara iendayo kibaigwa Dar , kwa hiyo hana shida ni nyie tu na njaa zenu.
100% Nakubaliana na Wewe, Na ukitaka kuenjoy upate ugumu wa Kumtogoza ili akipatikana basi ujikunje na Kupinda Mgongo kwa hasira za Kuzungushwa. Huyu mama nadhani ni Maharage ya Mbeya, Maji mara moja tayari kutafunwa.Asante studio.
Huyu mama acha akafie mbele, sijawhi kuona mwanamke mweupe namna ile, hata mumewe nahisi anajisikia aibu mbele ya wanaume wenzake kuwa na mke ambaye ni mweupe hivyo, yaani jamaa atakuwa anajihisi uwezo wake wa kutongoza ni mdogo, maana kumtongoza mtu mwenye uwezo finyu namna hiyo inaashiria hukutumia nguvu nyingi sana kumshawishi.
AKAFIE MBELE HUKO.
Noted!! Ile Dhambi BMK, Escrow Itawatafuna Hadi Waombe Radhi, Naona Dr Mrema Kaanza Kuleta Sura Ya Kuhurumiwa Eti Kaambiwa Ana HIV Na Mbatia!!!
HaahaaaaNZISHE TYPEZAKEHiyo pepo kajenga yeye mpaka akalale huko?.