Kwacha ya Zambia inaipiku shilingi ya Tanzania kwa mbali

Tatizo la namba huwa hazidanganyi aisee huu uchumi unaokua kila siku huku Tz shilling ikizama siuelewi!.Mi sio mtaalamu wa uchumi sana ila itakuwa 'imbalance of trade' sisi tuna 'import' sanaa alafu tuna 'export' kidogo,hiki ni kigezo mojawapo cha kufanya fedha yetu isikue,nashangaa na Uganda wanakuja kwa kasi zamani tuliwazidi sana, 1Tzsh ilikuwa ni 2UGsh mfano, 500Tshs ilikuwa 1000UGshs ila kwa sasa hiyo 500 ya Tz ni saw na 700 hivi ya Uganda wanatupigia indicator wanaomba site uenda nao watatupita siku za usoni tusipo nyiimarisha.

umeelezea vizuri sana.
 
Mwaka 2012 nilikuwa Zambia. Shilingi 1 ya Tanzania ilikuwa sawa na Kwacha za Zambia 3.Sasa nipo Zambia Kwacha Moja ni sawa na shilingi 217. Kwa muda wa miaka 4 kumetokea mabadiliko makubwa kabisa dhidi ya Kwacha kuipita pesa yetu. Kuna mtu wa BOT humu atuelezee nini kinaendelea?
mimi nashangaa sana wanaofagilia awamu hii indicator zote za uchumi zinaonyesha tunaporomoka kila kona lakini kuna watu wamejitoa ufahamu wanatoa sifa zote za duniani mpaka mbinguni.
 
Hebu acheni kutudanganya wenye akili msikurupuke

Just google brother. surely utashangaa Mimi nilpoiona hii habari nidhani ni utani kumbe kweli. Hii nchi inayeyuka polepole kama barafu. SIASA MBAYA KWENYE UCHUMI WA NCHI.
 
Mkuu huo ni uongo kabisa utakua umeibiwa
Inategemea kachange wapi...ukichange nakonde inaenda kati ya 23-26 yaan ukitoa elfu 23,000-26,000tsh unapata 100K, ila ukifika ndani ndani kama kapiri, kitwe, kabwe,lwanshya, solwezi huko unapewa rate ndogo mno labda ye kakumbana na hayo!
 
Tatizo la namba huwa hazidanganyi aisee huu uchumi unaokua kila siku huku Tz shilling ikizama siuelewi!.Mi sio mtaalamu wa uchumi sana ila itakuwa 'imbalance of trade' sisi tuna 'import' sanaa alafu tuna 'export' kidogo,hiki ni kigezo mojawapo cha kufanya fedha yetu isikue,nashangaa na Uganda wanakuja kwa kasi zamani tuliwazidi sana, 1Tzsh ilikuwa ni 2UGsh mfano, 500Tshs ilikuwa 1000UGshs ila kwa sasa hiyo 500 ya Tz ni saw na 700 hivi ya Uganda wanatupigia indicator wanaomba site uenda nao watatupita siku za usoni tusipo nyiimarisha.
wakianza kuuza mafuta watatupita mala mbili na zaidi
 
Kuna kitu mnachanganya hapo! Wakati wa Levy Kwacha ilikuwa ina tarakimu nyingi. 100,000K ambayo kwa sasa ni 100K ila thaman yake ni ile ile. Ukiwa na 100Zmk ni kama una 25,000 Tanzanian money!Rate yake ni 22-26 tena zaman ilikuwa hadi 27-30 inaaanguka kutokana na soko la dunia la copper. Ikishuka kwa dola na kwa shillingi inashuka pia!
 
Kuna kitu mnachanganya hapo! Wakati wa Levy Kwacha ilikuwa ina tarakimu nyingi. 100,000K ambayo kwa sasa ni 100K ila thaman yake ni ile ile. Ukiwa na 100Zmk ni kama una 25,000 Tanzanian money!Rate yake ni 22-26 tena zaman ilikuwa hadi 27-30 inaaanguka kutokana na soko la dunia la copper. Ikishuka kwa dola na kwa shillingi inashuka pia!

Ipo hivi ukiwa na wastan wa Tshs 25,000 unapata Kwacha 100 hii ni sawa na Kwacha 1 = Tshs 250. tusirembe mwandiko.
 
Mwaka 2012 nilikuwa Zambia. Shilingi 1 ya Tanzania ilikuwa sawa na Kwacha za Zambia 3.Sasa nipo Zambia Kwacha Moja ni sawa na shilingi 217. Kwa muda wa miaka 4 kumetokea mabadiliko makubwa kabisa dhidi ya Kwacha kuipita pesa yetu. Kuna mtu wa BOT humu atuelezee nini kinaendelea?
Currency ya zambia sio kama ni imara kiasi hicho in term of purchasing power. walichokifanya zambia wali-restate currency yao kwa kupunguza zero 3 kwenye hela yao, so kama ni kwacha 1000 inakuwa termed kama kwacha 1, kwacha 10000 ikawa termed kama kwacha 100.
Kwa wao kufanya hivyo, ukifanya transaction ya exchange dhidi ya kwacha utaona kwacha ni sarafu imara, ila ukija katika kufanya manunuzi utagundua kuwa ni sarafu dhaifu sana. Mimi nilikuwa Lusaka 2015, exchange ilikuwa $1=Kwacha 8 ambapo ukiilinganisha na TZS ilikuwa ni kama Kwacha1=TZS 260, hii ilinishtua sana na nikaona kuwa hii ni moja ya currency imara sana Afrika, lakini cha ajabu ukiingiza katika matumizi ndo unagundua thamani yake imechezewa.
Mtakumbuka mwaka jana baada ya rais Edger kushinda aliagiza kufungwe mabaa ya nchini humo kwa muda wa wiki 1 or 2 na wananchi wafunge kula ili kuombea uchumi wa nchi hiyo.
 
Unaongelea kwacha ya zambia au malawi? Mmh kweli wamepiga hatua nakumbuka mwaka 2011 nilikwenda kutumia kwacha unabeba nyiingi unapata vitu kidogo. Kumbe pesa imeimarika ghafla hivyo? Hongera zao
Huyo ni muongo kwacha ya Zambia iko chini kuliko shs ya TZ, Labda angesema kwacha ya Malawi ambayo imeshuka kidogo awali ilikuwa kwacha 1 ya Malawi ni sawa na shs 335 TZ
 
Mwaka 2012 nilikuwa Zambia. Shilingi 1 ya Tanzania ilikuwa sawa na Kwacha za Zambia 3.Sasa nipo Zambia Kwacha Moja ni sawa na shilingi 217. Kwa muda wa miaka 4 kumetokea mabadiliko makubwa kabisa dhidi ya Kwacha kuipita pesa yetu. Kuna mtu wa BOT humu atuelezee nini kinaendelea?
Wewe acha siasa za kwenye chupi, unatuletea uongo mchana kweupe hivi!!
Malawi kwacha iko juu tangu zamani ilikuwa kwacha 1 ni sawa na Shs 335, Lakini pia nao imeshuka kidogo. Lakini Kwacha ya Zambia iko chini kifogo kuliko Sh ya TZ
 
Back
Top Bottom