Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
Tatizo la namba huwa hazidanganyi aisee huu uchumi unaokua kila siku huku Tz shilling ikizama siuelewi!.Mi sio mtaalamu wa uchumi sana ila itakuwa 'imbalance of trade' sisi tuna 'import' sanaa alafu tuna 'export' kidogo,hiki ni kigezo mojawapo cha kufanya fedha yetu isikue,nashangaa na Uganda wanakuja kwa kasi zamani tuliwazidi sana, 1Tzsh ilikuwa ni 2UGsh mfano, 500Tshs ilikuwa 1000UGshs ila kwa sasa hiyo 500 ya Tz ni saw na 700 hivi ya Uganda wanatupigia indicator wanaomba site uenda nao watatupita siku za usoni tusipo nyiimarisha.
umeelezea vizuri sana.