CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Kwa ukanda wa EAC pesa ya Tanzania ina thamani dhidi ya pesa ya Uganda pekee yake kwa sasa.
Kwenye suala la thamani kuna shisa sana kwa Shilingi ya Tanzania, fikiria hadi Pesa ya Burundi imetupita, Rwanda ndo usiseme, Uganda wako jirani kutupita, Kenya wako juu yetu, Sudani Kusini wako juu.
Zambia ndo balaa tupu kwa sasa kwacha 1 ni sh 142 ya Tanzania, Kwacha ya Malawi still nayo iko far.
Tungekuwa tunazalisha sana tungesema hii ni faida kwetu ila sisi sio wazalishaji hata sisi ni Importer na hapa maana yake unapo import kutoka nchi yenye sarafu strong maana yake biadhaa zinakuwa ghari sana.
Kwenye suala la thamani kuna shisa sana kwa Shilingi ya Tanzania, fikiria hadi Pesa ya Burundi imetupita, Rwanda ndo usiseme, Uganda wako jirani kutupita, Kenya wako juu yetu, Sudani Kusini wako juu.
Zambia ndo balaa tupu kwa sasa kwacha 1 ni sh 142 ya Tanzania, Kwacha ya Malawi still nayo iko far.
Tungekuwa tunazalisha sana tungesema hii ni faida kwetu ila sisi sio wazalishaji hata sisi ni Importer na hapa maana yake unapo import kutoka nchi yenye sarafu strong maana yake biadhaa zinakuwa ghari sana.