Kwacha ya Zambia inaipiku shilingi ya Tanzania kwa mbali

we ni mwanamazingaombwe?mbona unaona uhalisia ambao upo kwenye matumizi?je hiyo pesa ilipobadilishwa jamaa alipata huduma pungufu ya angeitumia hapa kwetu?kama alipata zaidi ina maana pesa yetu inavalue zaid.

but kama alifanya huduma pungufu zaidi ina maana pesa ya ZAMBIA iko na value zaidi.

sijui kama nakosea,mimi sio mchumi but kwa uelewa wangu huu mdogo.
Very simple ingia kwenye tovuti yoyote unayoiamini angalia exchange rates za tsh dhidi ya kwacha
 
Acheni uongo..kwacha ipo chini sana..tena sana wazambia wanakuja na million ya kwao wakibadili uku wanapewa laki 2 na kitu tu.......huu uongo kabsa
 
Dah....kuna mijitu milevi sana humu....hili wala halihita kuwa mchumi...Mwaka 2012 Zambia walikubali kuipunguza thamani pesa yao...noti ya kwacha 50,000 ilikuwa karibu sawa na USD 10 ....wakaamua kuifanya hiyo noti ya kwacha 50,000 iwe sawa na noti mpya ya kwacha 50...yaani kuondoa sifuri tatu za mwisho....ni sawa kama sisi leo tunaamua kuibadili noti ya 10,000 iwe 10....yaani USD 1 = Tshs 2 na sent 20 au hivyo viroba vya buku mnavyokunywa sasa mtavipata kwa shilingi 1 tu.....sasa hapo uchumi umekuwa? Acheni ubwe ge bana
Watu huwa wanakuja na hoja bila kufanya utafiti wa kutosha.
 
Sio kweli shillingi ipo juu ya kwacha nipo zambia hapa isipokua walipunguza tarakimu za fedha yao ili ionekane INA thamani yaani kabla ya sata kua rais kulikua na noti ya 50,000 ambayo ilikua sawa na tsh 10,000 alipochukua sata urais akapunguza tarakimu yaani ile elfu 50 imekua ni kwacha 50 ambayo ni sawa na elfu 10 ya TZ ila thamani imebaki kua ileile ya zamani
 
Inawezekana kwa sababu bila kusahau sata alipoingia madarakani niliskia kuwa amepunguza tarakimu za noti zake yaani walikua na hadi 50,000 kwacha ambayo sasa imekua 5000 nadhani inaweza kuwa sababu.
Hakuna noti ya 5000 zambia hela kubwa kwao ni 100 ambayo ni 24000 ya tanzania mkuu sasa
 
Dah.....hawajatupita bana.....kiuhalisia
1usd =zmk 9809.....umekuwa hivyo baada kufuta sifuri3 za mwisho kwenye fedha yao....baada ya kuonan noti Kwacha 500 ilikosa matumizi.....hivyo kama ulikuwa na noti ya Zmk 50,000 thamani yake mpya ni zmk 50 tu...
 
I
Kuimarika au kuwa na sarafu kimara inaweza kuwa either ni matokeo ya intervention yaani vyombo vya fedha hasa benki juu inaamua tu kuhakikisha pesa inakuwa hivyo au ni kuwa wanaingiza fedha za kigeni na uwekezaji wa nje mwingi.
Lakini wakati fulani exchange rates hizi huwa hazipo Sawa. Itakumbukwa Tanzania takribani mwaka na nusu uliopita sarafu iliporomoka kwa sababu the exchange rate was unreal. Benki juu ilikuwa inasaidia exchange rate iwe vile. Nigeria pia mwaka huu hadi wakahamia toka kwenye mfumo wa kucontrol exchange rate na kuruhusu soko kuamua exchange rate. Matokeo yake nchi ikatoka nafasi ya kwanza kuwa uchumi mkubwa ikarudi namba mbili. China pia.
Lakini tuseme wazi, exchange rates si kipimo peke cha uchumi kufanya vizuri.
Ila ni kati ya viashiria sio? Uchumi doro jamani hatuna haja ya kuficha funza aliyetuingia miguu eti tusiitwe wachafu.
 
Tusidanganyane.. Kwacha ipo chini sana
Ona xchange rate
3ca27b7931c14b72e09603d9a5206e42.jpg
 
Back
Top Bottom