Protector
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 414
- 877
Kuna wapenzi wa Simba wanaamini kwamba Yanga kupangwa na Mamelodi Sundowns hawatafika nusu Fainali. Kwangu mimi naona Mamelodi ni mwepesi kuliko Al Ahly. Kwenye hatua za mtoana Al Ahly anakuwaga wa moto kuliko kwenye magroup.
Simba ndiyo ana wakati mgumu kuliko Yanga. Yanga anavuka hatua hii na atafika mpaka fainali, sioni wa kumzuia.
Simba ndiyo ana wakati mgumu kuliko Yanga. Yanga anavuka hatua hii na atafika mpaka fainali, sioni wa kumzuia.