Kwa wenye "WAKE" wanao drive

Kwa wenye "WAKE" wanao drive

Heisenberg

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2017
Posts
1,688
Reaction score
2,981
Maisha yana changamoto nyingi sana. Changamoto sio kukosa mlo tu, kila mtu ana changamoto yake.

Changamoto yangu mimi ni wife akitoka na gari. Huwa roho inaniuma hadi atakapokuwa amerudi nyumbani salama.

Maana huwa nakuwa standby kusubiri simu kuwa kapata majanga au laaah

Yaani huo muda huwa nakuwa siwezi kufanya kitu, huwa nakuwa karibu na simu zangu mbili.

Na kama kaondoka na dada wa kazi na mtoto hapo ndo huwa nalia kabisa. Roho haitulii kabisa.

Nawaza kama watarudi salama au laah hasa nikizingatia mabodaboda yalivyo mengi na uendeshaji wa ovyo, malori makubwa na changamoto nyingine za barabarani.

Kumkoma nyani geradi
 
Ukikua utaachana na uwoga ulionao nyie ndio mnaoendekeza mfumo dume mwanamke kuendesha gari hakuna uhusiano na kupata ajali yeyote anaweza kupatwa. Na barabarani unaweza kuwa makini sana na sahihi na ukapata ajali kuna muda huwezi kuepuka ajali
 
Nilishapokea na kusolve issue zake kama tatu. Sasa kwanini nisiwe na wasiwasi???
Ukikua utaachana na uwoga ulionao nyie ndio mnaoendekeza mfumo dume mwanamke kuendesha gari hakuna uhusiano na kupata ajali yeyote anaweza kupatwa. Na barabarani unaweza kuwa makini sana na sahihi na ukapata ajali kuna muda huwezi kuepuka ajali

Sent from my HUAWEI TIT-U02 using JamiiForums mobile app

Kumkoma nyani geradi
 
Unamashaka na control yake ama umakini wake barabarani.? Vp hujawahi kutoka nae akiwa anadrive yy nakuona umakini wake
Ninamuamini. Na nimeshakaa kushoto mara kibao. Issue ni akiondika yeye bila mm kuwepo

Kumkoma nyani geradi
 
Bwana asipoulinda mji, walindao wakesha bure.
Hofu na wasiwasi wako havisaidii kuepusha chochote zaidi ya kukuletea shida kisaikolojia.

Sawa na awali nilikua nikipanda ndege nahofia itapata ajali kiasi kwamba nakosa raha ya safari, kuna siku nikasema ikiwa ajali itatokea, hofu yangu haisaidii chochote kuizuia.

Kama hua anarudi salama, sio hofu yako au kilio chako kinawaepusha na ajali.
 
Maisha yana changamoto nyingi sana. Changamoto sio kukosa mlo tuu, kila mtu ana changamoto yake.

Changamoto yangu mimi ni wife akitoka na gari. Huwa roho inaniuma hadi atakapokuwa amerudi nyumbani salama.

Maana huwa nakuwa standby kusubiri simu kuwa kapata majanga au laaah

Yani huo muda huwa nakuwa siwezi kufanya kitu, huwa nakuwa karibu na simu zangu mbili.

Na kama kaondoka na dada wa kazi na mtoto hapo ndo huwa nalia kabisa. Roho haitulii kabisa.

Nawaza kama watarud salama au laah hasa nikizingatia mabodaboda yalivyo mengi na uendeshaji wa ovyo, maroli makubwa na changamoto nyingine za barabarani.

Kumkoma nyani geradi
Kama anaweza kuendesha maisha yako vp ashindwe kuendesha Huyo mjapani.
 
Nakua sina wasiwasi kwenye gari nikiwa naendeshwa na mwanamke kuliko mwanaume.. Hawa viumbe wapo makini barabarani sijawah kuona, ni mara chache sana mwanamke kupata ajali za kizembe.
 
Cha msingi ni kuhakikisha competency yake akiendesha iko poa, gari liko vzr idara zote na mwisho Unamuachia Mungu amlinde akiwa roadini, kwa maisha haya kila mahali utaenda wewe ? au umuajirie dreva wa kukumuendesha, cost implication sasa!
 
Maisha yana changamoto nyingi sana. Changamoto sio kukosa mlo tuu, kila mtu ana changamoto yake.

Changamoto yangu mimi ni wife akitoka na gari. Huwa roho inaniuma hadi atakapokuwa amerudi nyumbani salama.

Maana huwa nakuwa standby kusubiri simu kuwa kapata majanga au laaah

Yani huo muda huwa nakuwa siwezi kufanya kitu, huwa nakuwa karibu na simu zangu mbili.

Na kama kaondoka na dada wa kazi na mtoto hapo ndo huwa nalia kabisa. Roho haitulii kabisa.

Nawaza kama watarud salama au laah hasa nikizingatia mabodaboda yalivyo mengi na uendeshaji wa ovyo, maroli makubwa na changamoto nyingine za barabarani.

Kumkoma nyani geradi
Hakuna watu makini barabani kama wanawake.. kaka ondoa shaka kabisa..
Tena wakati mwingine mkiwa pamoja mwache awe anaendesha yeye . Wewe kaa pembeni endelea ku peruze JF
 
Back
Top Bottom