The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
- Thread starter
- #21
Wanakopesha....ila wanakopesha chupa nzima sio toti mbili au tatuzimeishia kwenye madeni............hivi hapo wanakopesha nije fasta nitalipa next m
Wanakopesha....ila wanakopesha chupa nzima sio toti mbili au tatuzimeishia kwenye madeni............hivi hapo wanakopesha nije fasta nitalipa next m
Walikuwa wanaenda kunywa Banana hao
Hivi sasa ni saa kumi kamili jioni kifuatacho baada ya kazi....al batar mzima yuko mezani chezeiya
Valid pombe sio dhambi banaaahivi kwani kunywa pombe ni dhambi?
Kama hutukani mtu, hupigani, mkeo kala, mtoto kala, nyumba yako ni safi , choo na bafu visafi. na wala hukopi pombe unayokunywa.
Hapo kunywa pombe ni dhambi kwani?
Lakini DINI yangu nashangaa inakaza pombe.
hapo mi sina kiu kwa leo......
By saying that he meant the other way round......Am short of words.... Source; Kaizer.
By saying that he meant the other way round......
Mhh!!! Happiness......lolNajiramba tu, sina kiu
Hahahaha.....lol mimi peke yangu ndio mzima btwi got a bottle of Blue Label i was told to deliver it to you sasa nina wasiwasi chupa itafika iko nusuSio kawaida yake... ndo maana i was torn btn putting a "LIKE" Or not....lol...
Sometimes even I don't understand him pamoja na devotion yote hii...lol..
Thats why nikikwamba kumuelewa i consult you.... (mana wote vichwa sometime vibovu... sorry lol)
Hahahaha.....lol mimi peke yangu ndio mzima btwi got a bottle of Blue Label i was told to deliver it to you sasa nina wasiwasi chupa itafika iko nusu
Okay kama ni kwa ajili ya shoo basi ngoja nimalizie nikuletee chupa tupu kabisa kwa ajili ya display..lolUsiniletee mchezo hakikisha imefika ipasavo...lol... (hata kama huwa to naweka for shoo...)
Hahaha!!! Obuntu hivi Unguja unaweza kukuta stock kama hivyo kweliTF..
Ulikuwa Unguja lini mara ya mwisho?
lol....Safari umenikumbusha jamaa mmoja akienda baa anaomba na glasi nyingine kwa ajili ya kuweka vizibo ili wahudumu wasije wakampiga kwenye biliRAUNDI MOJA ISHAKWENDA HAPA........HEBU NISAIIDENI BILI TAFADHALI