The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Hahaha!! Wewe unaonekana una kiu sanaDu nilivyoiona tu hyo kitu nimepiga kama funda mbili hivi za mate
LF wale wenye tabia ya kupiga tarumbeta kwenye beer hapa inabidi waende kwa miondoko ya kobeTii kiu yako, kata maini yako pia.
Wee si uliniambia hapo jirani na ofisi yenu kuna baamambo gani haya ya kutamanishana mchana wakati wa kazi bana
Hii siredi iweke saa kumi na mbili sio saa nane bana
Wee si uliniambia hapo jirani na ofisi yenu kuna baa
SW si unaanza Alhamisi jioni mdogo mdogonaona bigbroda kwa pembeni....! sredi kama hii inafaa ijumaa..!
Weee unautani kabisa hebu angalia ubaoni tarehe ngapi leoTF nini tena hii............mifuko yenyewe ina kiu
Chauro taratibu usije ukaingia kwenye csreen kuvifuatavinavutia?
Walikuwa wanaenda kunywa Banana haoImefungwa
Wafanyakazi walikuwa wakifikia saa saba time ya lunch wakirudi wote wanatetemeka mikono hata kutype wanashindwa
Wengine ndo walikuwa wanasinzia mbaya
Weee unautani kabisa hebu angalia ubaoni tarehe ngapi leo
Hivi sasa ni saa kumi kamili jioni kifuatacho baada ya kazi....al batar mzima yuko mezani chezeiyaJamani hii picha mbona umepost muda bado???