Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,063
TRUE STORY,IMETOKEA MAJUZI MAENEO YA TEGETA:
Baba kapokea ofisini parcel toka DHL,sender hamjui,kuifungua akakuta bahasha na ndani yake kuna DVD haina title.Akawa puzzled lakini akasema anyway nitaiangalia nikifika nyumbani. Kufika nyumbani akamweleza Bi Mkubwa kuhusu hiyo parcel,wakamwita binti yao(teeneger) na mama akamwambia awashe tv na deck yake kisha akaweka ule mkanda. Wamekaa sasa mama,baba na binti wanasubiri waone mkanda una nini. Mkanda ukaanza taratibu mara lahaula wanamwona mtoto wao mkubwa wa kiume anayesoma Uingereza yuko bize dume la kizungu limempanda juu!Hebu niambie ndugu yangu kama mzazi hii unai handle vipi? Yamemkuta mzazi mwenzetu,tena majuzi tu.
Baba kapokea ofisini parcel toka DHL,sender hamjui,kuifungua akakuta bahasha na ndani yake kuna DVD haina title.Akawa puzzled lakini akasema anyway nitaiangalia nikifika nyumbani. Kufika nyumbani akamweleza Bi Mkubwa kuhusu hiyo parcel,wakamwita binti yao(teeneger) na mama akamwambia awashe tv na deck yake kisha akaweka ule mkanda. Wamekaa sasa mama,baba na binti wanasubiri waone mkanda una nini. Mkanda ukaanza taratibu mara lahaula wanamwona mtoto wao mkubwa wa kiume anayesoma Uingereza yuko bize dume la kizungu limempanda juu!Hebu niambie ndugu yangu kama mzazi hii unai handle vipi? Yamemkuta mzazi mwenzetu,tena majuzi tu.