mtu mwembamba
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 339
- 417
Ni ngumu kufanya predictions lakini binafsi nakushauri muogeshee na maji yaliyochanganywa na chumvi kidogo... Chumvi ni tiba nzuri kwa nguvu hasi zote... Na mojawapo ya vitu vinavyomfanya mtoto alie ama astukestuke usingizini ni hizo nguvu hasi
Sawa mkuu, na vp chumvi nitumie ya kawaida au ile isiosagwa?