bysange
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 4,456
- 1,565
hahahaaaaaaaaaa,BrN inabidi ihusike hapa
hahahaaaaaaaaaa,BrN inabidi ihusike hapa
So what? hivi mtu unaweza kujisifia vile ulivyo? kabla hujakuwa binadamu unapiga kura kuwa sura yako iwe kama ulivyo? The word to the wise man suffices.
Kwa kosa gan??
Yaani kuna watu wanawafanya hawa mods kama waungu yaani mtu hofu ya mungu inamtoka ila anaogopa kumchokoza fulani ati kisa mod......
So what? hivi mtu unaweza kujisifia vile ulivyo? kabla hujakuwa binadamu unapiga kura kuwa sura yako iwe kama ulivyo? The word to the wise man suffices.