Kwa wapenzi wa tamthilia ya sultan

Kwa wapenzi wa tamthilia ya sultan

Acha tu sema hurrem kitakachomponza ukatili wake na Suleiman ameshaanza kujua ubaya wake.....ye mwenyew alimsumbua maidevlan pakawa hapatoshi Leo princess anamwona mbaya
Ila kwa sasa atapata tabu sana.
 
Yupi huyo au tunaongea lugha tofauti Kaka?

Alikuwa mdada au Mkaka?
Mkaka huyu hapa hasa na ile sauti yake
1532621295245.jpg
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaa wa saut huwa anampatiaa sana ....
Anampatia sanaaa. Post #07 wameweka picha ya anayeigizia sauti yake. [emoji2] [emoji2] [emoji2]

Ila ana unyenyekevu mpaka basi.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Anampatia sanaaa. Post #07 wameweka picha ya anayeigizia sauti yake. [emoji2] [emoji2] [emoji2]

Ila ana unyenyekevu mpaka basi.
Leo lazima nijitahidii ntaunga ungaa
 
Yes hun this is sumbula na ile mikono anavofanya anavoongea hahahhaa
kama ndiyo huyo hata sitaki kuwa team yako, kuna siku nilibahatisha kuangalia the way anavyo act kama gay hivi nilibadilisha chaneli kabisa
 
kama ndiyo huyo hata sitaki kuwa team yako, kuna siku nilibahatisha kuangalia the way anavyo act kama gay hivi nilibadilisha chaneli kabisa
Tutakua tunapokonyana remote ikifika wakat wa sultan nargin umesema nyoka hawana uhalisia me nampenda sumbula tho anaact kama gay lakini napenda yule anaemtakia kiswahili na vitendo vyake like " eeeh muoneni huyu, chefuu hahhaha
 
Tutakua tunapokonyana remote ikifika wakat wa sultan nargin umesema nyoka hawana uhalisia me nampenda sumbula tho anaact kama gay lakini napenda yule anaemtakia kiswahili na vitendo vyake like " eeeh muoneni huyu, chefuu hahhaha
ntachomowa waya za king'amuzi, tv, cable, tv itahamishwa inapokaa, king'amuzi kitapelekwa kabatini na vitu vingine vyote around that area vitakuwaseparated yan itakuwa tafrani mpaka ukiweza kuunganisha either zimebaki dk 5 au imeisha kabisa hiyo tamthilia sipendagi ujinga mie
 
ntachomowa waya za king'amuzi, tv, cable, tv itahamishwa inapokaa, king'amuzi kitapelekwa kabatini na vitu vingine vyote around that area vitakuwaseparated yan itakuwa tafrani mpaka ukiweza kuunganisha either zimebaki dk 5 au imeisha kabisa hiyo tamthilia sipendagi ujinga mie
hahaha shida zote za nn hizi hun??? Vyote tu tusiangalie ukihamisha na kuchomoa usirudishe tena
 
Jamaniiiiiii baada ya kua nje ya jukwaa kwa muda hatimae tumerejea .....mmeonaje kipande cha Leo ......kwa kweli namhurumia Isabella jamani dah
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Back
Top Bottom