1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 10,137
- 14,233
hata mimi pia miss yu2, kumbe nawe unafatilia hii sultanNimekumiss Kush hujui tu ndugu yangu.
A'aleykum!
hata mimi pia miss yu2, kumbe nawe unafatilia hii sultanNimekumiss Kush hujui tu ndugu yangu.
A'aleykum!
Hapana aiseeee. Waeza kuwa mwehu ujue. [emoji85] [emoji85] [emoji85]Hihihihihihihih .....hiyo kitu ntajikanda maji ya motoooo
a'msalaamNimekumiss Kush hujui tu ndugu yangu.
A'aleykum!
Naifuatilia ndugu yangu japokuwa naweza nikapitwa wiki nzima nikawa nahadithiwa na mdada wangu mpaka Weekend ndio naiangalia marudi kwa kituo.hata mimi pia miss yu2, kumbe nawe unafatilia hii sultan
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Me napenda the way yule anayeongea anampatia sana kuanzia maneno has vitendo, "hebu nipishe mimi, chefuuuu" hahahhahahaha na isabella atapata tabu sana na hurrem atapangiwa njama za kuuliwa
Hahahaha nlivyo na hasira Mimi niweze wapi....kaleta wa kwanza ...kaleta wa pili nipo tu !!!? Thubutuu???! Ile inapendeza we ukawakute wenzio uwaringie sio wakukute watunishe misuli khaaaaHapana aiseeee. Waeza kuwa mwehu ujue. [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Kwa dharura sawa ila upo halafu wanapewa wengine wewe ukienda unaishia kukumbushwa mabaya ya nyuma. Hapana aiseee narudi hapana shooo.
Mahidevra anajiweza kwa kweli na wewe Zeshchriss. [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
mm kila siku hainipiti[emoji23] ,, maaana hapa kila mtu anafatiliaNaifuatilia ndugu yangu japokuwa naweza nikapitwa wiki nzima nikawa nahadithiwa na mdada wangu mpaka Weekend ndio naiangalia marudi kwa kituo.
Wewe je Kaka ake?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ,, chezea hekaluHahahaha nlivyo na hasira Mimi niweze wapi....kaleta wa kwanza ...kaleta wa pili nipo tu !!!? Thubutuu???! Ile inapendeza we ukawakute wenzio uwaringie sio wakukute watunishe misuli khaaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ni nzuri mno jamaani Kaka.mm kila siku hainipiti[emoji23] ,, maaana hapa kila mtu anafatilia
haswaà, ilivoanza sikuifatilia sana kutokana na mizunguko ya hapa na pale,, ila kwa sasa nishakuwa mfuasi wa hiyo sultan,,[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ni nzuri mno jamaani Kaka.
Acha kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23] ,, chezea hekalu
ndo maana hawakimbii paleeAcha kabisa
Hahahahando maana hawakimbii palee
wanaishi kama wako peponiHahahaha
Ila kwakweli pepo ile hata me ningejitutumua kuganda nisiganduke mweehwanaishi kama wako peponi
ungeenda wapi sasa, pale ni kuoga na kupiga marashi unamsubiria sultan ,Ila kwakweli pepo ile hata me ningejitutumua kuganda nisiganduke mweeh
Sanaaaa .....mungu anawazoom huko walikoungeenda wapi sasa, pale ni kuoga na kupiga marashi unamsubiria sultan ,
ila wafalme wamekufa wamekula vingi[emoji23]
Mie niliifuatilia ila kuna kipindi nilikwenda Duga kama wiki mbili hakukuwa na king'amuzi cha Azam basi nikaishia kuisikia tu.haswaà, ilivoanza sikuifatilia sana kutokana na mizunguko ya hapa na pale,, ila kwa sasa nishakuwa mfuasi wa hiyo sultan,,
napenda sana kuwaangali akina sungula