Kwa wapenzi wa tamthilia ya sultan

Kwa wapenzi wa tamthilia ya sultan

Iseeeee naombea ucku na mchana nigarkarifa awe mjamzito iseeee yaani nitafurahi sana
Roho mbaya ili iweje ...ili mumfanye hadije kama mlivyomfanya zari sio???
 
Team Isabella hapaa na tunahakikisha hurrem ananyooka kama mistari ya rula ....ile tamthilia ni konyooo
Oyeeeeeee. Mie Hurrem hajawahi nivutia jamaani lol.

Wacha Isabella amtetemeshe kidogo na yeye aipate pate. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahaaa. Ili Ibrahim Umbuke eeeee?

Ila wanaume hapana bana baada ya kumtumia tu hataki hata kumuoma dada wa watu. Lol
Ukiona hivyo ujue puss not good kama ya hamissa
 
Hii tamthilia inanifanya kila siku nakesha tu
Mie inanipitaga siku nyingine sababu ya kupenda usingizi.

Yaani nikitaka niiangalie mpaka nilale kidogo kisha saa nne ndio niamke nje ya hapo lol.

Mpaka jumamosi marudio. [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Oyeeeeeee. Mie Hurrem hajawahi nivutia jamaani lol.

Wacha Isabella amtetemeshe kidogo na yeye aipate pate. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hurrem ana roho ya jini makata mbwa yule ana roho mbaya shetani kasingiziwa ......
 
Hahahaaa. Ili Ibrahim Umbuke eeeee?

Ila wanaume hapana bana baada ya kumtumia tu hataki hata kumuoma dada wa watu. Lol
Yule demu anampenda sana Ibrahim Pasha yeye ndiyo aliye jipeleka chumbani kwa Pasha, Pasha uzalenda ukamshinda akapiga mambo...

kama member hapo juu hamissa alivyo sema anatamani nigal khalfa apigwe mimba na Pasha sijui itakuaje aisee
 
Ndio maana yaani MTU alale na were na hapohapo akufukuze kwenye kasri maana take nn?
Yaani kama mie alinikera sana. Na hakufanya ubinadamu.

Japokuwa nawaza Niga khalfa alifuata nini kule chumbani?
 
Back
Top Bottom