Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 52,045
- 126,061
Kwa nini Kaka?ila pasha mtu hatar sana
Kwa nini Kaka?ila pasha mtu hatar sana
Endelea nayo sasa kaka iko poa hasaaa. Ila kuna watu wapya wapya wachache.Nilijaribu kuifatilia nikaishia njian
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] yaani na wanapambwa hao yaani saa nyingine hata Maharusi wa huku kwetu wanasubiri.ungeenda wapi sasa, pale ni kuoga na kupiga marashi unamsubiria sultan ,
ila wafalme wamekufa wamekula vingi[emoji23]
Umeonaeee. Kwa pale anayewakuta wenzie ndio anaenziwa hasaaa kuliko yule zilipendwa.Hahahaha nlivyo na hasira Mimi niweze wapi....kaleta wa kwanza ...kaleta wa pili nipo tu !!!? Thubutuu???! Ile inapendeza we ukawakute wenzio uwaringie sio wakukute watunishe misuli khaaaa
[emoji23] [emoji23] ila sasa ujifanye unaoa wake watatu uone cha moto[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] yaani na wanapambwa hao yaani saa nyingine hata Maharusi wa huku kwetu wanasubiri.
Yaani vya kila aina kaka. [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Unanitamanishaa ...niliishia nahisi yule kijakazii simjui jina lakin alibanduliwa na mfalmeEndelea nayo sasa kaka iko poa hasaaa. Ila kuna watu wapya wapya wachache.
ynalV upooNiko bize na wa colomexi mie
NipoooynalV upoo
[emoji23]Nipooo
Haswaaaaa ...asikwambie mtu kuletewa mwenzio inaumaaaaa inachoma kama pasiUmeonaeee. Kwa pale anayewakuta wenzie ndio anaenziwa hasaaa kuliko yule zilipendwa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahaaa. Umeonaeee.[emoji23] [emoji23] ila sasa ujifanye unaoa wake watatu uone cha moto
[emoji16] [emoji16][emoji23]
Duuh! Atakuwa Alexandra ( sijui nimeliandika ipaswavyo) huyo alikuwa mtumwa ila siku hizi anaitwa Hurrem na ana watoto wa 3 kwa Sultan.Unanitamanishaa ...niliishia nahisi yule kijakazii simjui jina lakin alibanduliwa na mfalme
Sanaaa. Tena ile ya waziwazi.Haswaaaaa ...asikwambie mtu kuletewa mwenzio inaumaaaaa inachoma kama pasi
Ashafikisha 3 ila alikuwa mzuriii...na yule kiherehere wa mfalme bado yupo ??Duuh! Atakuwa Alexandra ( sijui nimeliandika ipaswavyo) huyo alikuwa mtumwa ila siku hizi anaitwa Hurrem na ana watoto wa 3 kwa Sultan.
Yupi huyo au tunaongea lugha tofauti Kaka?Ashafikisha 3 ila alikuwa mzuriii...na yule kiherehere wa mfalme bado yupo ??
Acha tu sema hurrem kitakachomponza ukatili wake na Suleiman ameshaanza kujua ubaya wake.....ye mwenyew alimsumbua maidevlan pakawa hapatoshi Leo princess anamwona mbayaSanaaa. Tena ile ya waziwazi.
Kama jana uliona Hurrem alipotoka kwa Mama yake Sultan Valide walipoambiwa wamuelekeze masharti ya ndani ya kasri yule Issabela alipofika pale nje akashika ukuta nusu azimie.
Kuletewa mwenzio inauma banaa.