Kwa wapenzi wa tamthilia ya sultan

Kwa wapenzi wa tamthilia ya sultan

Yule demu anampenda sana Ibrahim Pasha yeye ndiyo aliye jipeleka chumbani kwa Pasha, Pasha uzalenda ukamshinda akapiga mambo...

kama member hapo juu hamissa alivyo sema anatamani nigal khalfa apigwe mimba na Pasha sijui itakuaje aisee
Hahaaa. Na alistahili kule kufukuzwa kwa fedheha kwa kweli.

Umekuwa ka mie Mkuu nawaza akipigwa mimba kisha Hurrem akajua ni mimba ya Ibrahim Pasha sijui Ibrahim ataishije maana ataipata pata.
 
Hahaaa. Na alistahili kule kufukuzwa kwa fedheha kwa kweli.

Umekuwa ka mie Mkuu nawaza akipigwa mimba kisha Hurrem akajua ni mimba ya Ibrahim Pasha sijui Ibrahim ataishije maana ataipata pata.
Ile Sharaja ya Hurrem aliyo achiwa na Liyo mpenzi wake wa zamani, Ibrahim akiipata Hurrem atapata shida sana..

Anaye muumiza kichwa Hurrem sasa hvi ni Princesa Isabela basi, nae lazma hurrem alale nae mbele
 
Ile Sharaja ya Hurrem aliyo achiwa na Liyo mpenzi wake wa zamani, Ibrahim akiipata Hurrem atapata shida sana..

Anaye muumiza kichwa Hurrem sasa hvi ni Princesa Isabela basi, nae lazma hurrem alale nae mbele
Ila Niga kalfa sijui kama anaikumbuka tena kule alikoifukia.

Hahaaa. Na anamuumiza kichwa hasaaa. Na asipolala naye mbele basi Isabella atapata tabu sana. [emoji23] [emoji23]
 
Yaani kama mie alinikera sana. Na hakufanya ubinadamu.

Japokuwa nawaza Niga khalfa alifuata nini kule chumbani?
Alimfata Ibrahim si unajua nigar anampenda Ibrahim ndio maana yuko Tatar kumsalit hurrem lakin sio Ibrahim
 
Alimfata Ibrahim si unajua nigar anampenda Ibrahim ndio maana yuko Tatar kumsalit hurrem lakin sio Ibrahim
Ila kwa anachofanyiwa sasa anajuta kumpenda Pasha maana hataki hata kusikiwa.

Sijui huko mbele tena labda wanaeza kuliendeleza penzi.
 
Marhadevulan yeye kabaki kama beki tatu tu
Hahaaaa. Anashabikia watu wakimgombea mume wake. [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ila ndio hivyo mila zao sijui desturi maana Kitanzania tanzania hakuna ambaye angeyaweza yaani kuwa mpenzi mtazamaji


Hapana aiseee.
 
Hahaaaa. Anashabikia watu wakimgombea mume wake. [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ila ndio hivyo mila zao sijui desturi maana Kitanzania tanzania hakuna ambaye angeyaweza yaani kuwa mpenzi mtazamaji


Hapana aiseee.
Mimi peke yangu ndiye ninaeweza kua mpenzi mtazamaji
 
Hahahaa. Wajiweza Shooo.

Mie ningesha lala mbele. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] dawa ni kua MTU mwenye dharau
 
Back
Top Bottom