Kwa wapenzi wa tamthilia ya sultan

Kwa wapenzi wa tamthilia ya sultan

Huwa siangalii lakin naoishi nao wanaangalia sasa inanibidi niwape tu kampani[emoji23]
 
Aliyetumwa alikuwa mpenzi wa Mash rachi akaja kudakwa kwa jaribio la kutaka kumuuwa Sultan, sijui alikuwa anaitwa nani jina lake limenitoka
Unamaanisha Victoria ambaye alizamishwa na mashrach mwenyewe baada ya kupewa adhabu na ibrahim pasha?
 
Maria Alisha olewa kuna yule aliye haribu mambo kwa faras wa princess harafu kana sura kavuuuuuu sio kama gulla maana gulla akikabwa roba tu Ibrahim atasema kila kitu ila Kale like big up kweke
Jamani muda mwingine huwa napitiwa sifuatilii kumbe maria Alisha olewa?
 
Back
Top Bottom