hamissa
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 482
- 427
Eti Jana anataka aende akamshauri hurrem hahahaaaa wakat yeye Ibrahim anamshinda cheeeeefuuuhata mimi nataka iwe hivyo na nisivyompenda khadije
Eti Jana anataka aende akamshauri hurrem hahahaaaa wakat yeye Ibrahim anamshinda cheeeeefuuuhata mimi nataka iwe hivyo na nisivyompenda khadije
Ila nampenda sana Sumbulai huwa ana unyenyekevu wa kipekee jamaani lol.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Duuh. Mie nawahi sana kurudi home ila usingizi shoo. Yaani naweza lala saa moja nikamwambia mdada wangu niamshe muda ukifika ila akiniamsha sasa naeza muitikia kisha nikarudi kulala.Mimi ikinikuta barabarani napark gari naangalia kwa app
Eti Jana anataka aende akamshauri hurrem hahahaaaa wakat yeye Ibrahim anamshinda cheeeeefuuuhata mimi nataka iwe hivyo na nisivyompenda khadije
Hapa nawaza jamaani hawawezi muambukiza Princesser Isabela hiyo ugonjwa ya tauni kweli?Eti Jana anataka aende akamshauri hurrem hahahaaaa wakat yeye Ibrahim anamshinda cheeeeefuuu
Ukitaka update nzuri mfollow esha buheti anapenda sana kuihadisia ukisoma na comments umemaliza[emoji23] [emoji23] [emoji23]Duuh. Mie nawahi sana kurudi home ila usingizi shoo. Yaani naweza lala saa moja nikamwambia mdada wangu niamshe muda ukifika ila akiniamsha sasa naeza muitikia kisha nikarudi kulala.
Ooh. Sawa shoo.Ukitaka update nzuri mfollow esha buheti anapenda sana kuihadisia ukisoma na comments umemaliza[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyu ndio anaigiza sauti ya nani?Hapana ni fundi wa sauti tu, kama umeangalia t junction yupo ndio best actor mwaka juz nadhani
View attachment 819568
Maria Alisha olewa kuna yule aliye haribu mambo kwa faras wa princess harafu kana sura kavuuuuuu sio kama gulla maana gulla akikabwa roba tu Ibrahim atasema kila kitu ila Kale like big up kwekeHahaha yule mwingine si walimuozesha aliechomwa kisu na gulsha
Masikin hadija alivyo kuta mtandio was nigatkhalifa chumban hakua hats na habarHahahaaa. Ili Ibrahim Umbuke eeeee?
Ila wanaume hapana bana baada ya kumtumia tu hataki hata kumuoma dada wa watu. Lol
Hapana ni fundi wa sauti tu, kama umeangalia t junction yupo ndio best actor mwaka juz nadhani
View attachment 819568
Alinichosha pale ujue. Nikawa najisemea kweli wazungu wametuacha mbali.Masikin hadija alivyo kuta mtandio was nigatkhalifa chumban hakua hats na habar
Hiyo lazima Ila kakifanikiwa bila watu kujua basis kwenye utawala was hullem katapandishwa cheoIla atakaponza ujue
Yaani nahis ungeliamsha hata LA hullem lingesubiriAlinichosha pale ujue. Nikawa najisemea kweli wazungu wametuacha mbali.
Nikajisemea ningekuwa mie ningeliamsha dude tena dude haswaa. [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Halafu eti anamrudishia kirahisi kabisa lol.
Ila sijui kama katafanikiwa.Hiyo lazima Ila kakifanikiwa bila watu kujua basis kwenye utawala was hullem katapandishwa cheo
Wacha kabisa shooo.Yaani nahis ungeliamsha hata LA hullem lingesubiri