Kwa Wapenzi wa Nyimbo za Rock

Kwa Wapenzi wa Nyimbo za Rock

Usisahau Have a nice day la bon jovi ni noooooommmm..

The Rasmus nao wana kitu kinaitwa Have a nice day, bila kusahau kifaa chao kingine kinaitwa may be tomorrow! Pia kuna dude la Bon Jovi linaitwa living on a prayer! Ni hatari, inasemekana hili dude ndo lime-revolutionize rock toka classic kuja modern rock!!
Wimbo umetulia naupenda balaa alafu si unajua masauti ya rochers yanakwaruza fulani hivi, hapa Bon Jovi waliua kabisa na hili kitu classic!
 
mi nawapenda sana Coheed and Cambria. mwaka huu watatoa album na wamerelease nyimbo tayari inaitwa you got spirit kid.
 
The Rasmus nao wana kitu kinaitwa Have a nice day, bila kusahau kifaa chao kingine kinaitwa may be tomorrow! Pia kuna dude la Bon Jovi linaitwa living on a prayer! Ni hatari, inasemekana hili dude ndo lime-revolutionize rock toka classic kuja modern rock!!
Wimbo umetulia naupenda balaa alafu si unajua masauti ya rochers yanakwaruza fulani hivi, hapa Bon Jovi waliua kabisa na hili kitu classic!
hao the Rasmus kuna nyimbo zao kama no fear na sail away nazo ziko poa. kuna wa Finland wenzao wanaitwa HIM wako poa sana.
 
The fray,daughtery,matchbox 20,three doors down,

Aisee mi 3 doors down wananikuna sana na vitu kama behind those eyes, na moja nimesahau jina ila baadhi ya lyrics ni " i woke up today in London, as the plai was touching down.......", aisee, i love rock bhana, nilifikiri ni mtized pekee nipendae rock!
 
Miaka ya nyuma kidogo EA Radio na Tv walikuwa na kipindi siku za j2 lkn vilifutwa! BTW kutana na wakali hawa;
Foo Fighters
REM
Natalie Imbruglia
Natasha Bedingfield
Kyllie Minogue
Blink 182
Dirk Bentley
3 Seconds to Mars
Na wengine wengi. Mmenigusa sana sikutegemea km naweza kupata wadau wa muziki huu wa watu wanaojielewa
 
Aisee mi 3 doors down wananikuna sana na vitu kama behind those eyes, na moja nimesahau jina ila baadhi ya lyrics ni " i woke up today in London, as the plai was touching down.......", aisee, i love rock bhana, nilifikiri ni mtized pekee nipendae rock!
hii ni moja ya bendi nzuri na wanamashairi simple sana . album zao seventeen, away from the sun na better life huwa nazisikiliza consecutively na huwa hazinichoshi.
 
Bila kuwasahau Green Day-Boulevard pf broken dreams, working class hero, wake me up in september, holiday etc!
Pia mdada Avril Lavigne na happy endind, iam with you, nobody's home etc!
 
Miaka ya nyuma kidogo EA Radio na Tv walikuwa na kipindi siku za j2 lkn vilifutwa! BTW kutana na wakali hawa;
Foo Fighters
REM
Natalie Imbruglia
Natasha Bedingfield
Kyllie Minogue
Blink 182
Dirk Bentley
3 Seconds to Mars
Na wengine wengi. Mmenigusa sana sikutegemea km naweza kupata wadau wa muziki huu wa watu wanaojielewa

kuna yule dada anaitwa Ziadah ndiyo alikuwa anakiendesha. naona aliondoka na live wire ikafa.
 
kuna yule dada anaitwa Ziadah ndiyo alikuwa anakiendesha. naona aliondoka na live wire ikafa.
Ni kweli kabisa nilikuwa sasa hv huwa nasikiliza online kupitia Tunein radio statiin za mbele unachagua tu km utapenda Hard, Modern, Alternative, Classic, Metal, etc. Huu ndio mziki wangu mkuu na umenifanya watu wengi wasinielewe, nami nilishawaeleza kamwe hatanielewa sbb hawajielewi
 
Back
Top Bottom