Kwa Wapenzi wa Nyimbo za Rock

Kwa Wapenzi wa Nyimbo za Rock

Linkin Park album yao ya Living Things ndo nlikuwa naitumiaga sana gym back in the days. Maroon 5 ngoma zao za One More Night na Animals zinareflect ukweli mkubwa sana katika mahusiano mengi.

ndugu yangu ukitaka mimi nifanye kazi kama mtumwa,nisahau mpaka kula wewe niwekee rock music hasa ngoma za linkin park,mimi huwa ni mtu emotional sana ndomana napenda vitu vilivyo deeper,nashindwa kuelezea hapa ila i always try to think behind if not beyond my brain
 
ndugu yangu ukitaka mimi nifanye kazi kama mtumwa,nisahau mpaka kula wewe niwekee rock music hasa ngoma za linkin park,mimi huwa ni mtu emotional sana ndomana napenda vitu vilivyo deeper,nashindwa kuelezea hapa ila i always try to think behind if not beyond my brain

Yan wafuasi wote wa rock genre, mbali na kuwa na akili sana (sijabagua ambao hawasikilizi rock), huwa tuna/wana uwezo wa ku'relate emotionally. Na wanajua sana pale vyombo kama guitar, percussions, drums zikipigwa vizuri.
 
Lenny Kravitz mi naona ndo the only Afro-American aliefanikiwa kushine katika genre ambayo imetawaliwa sana na wazungu. Ni sawa na Eminem kwa Hip-Hop
huu mziki walianzisha watu weusi na sijui kwanini waliwaachia wazungu. mweusi anayesumbua hadi leo japo ni marehemu ni jim hendrix. lupe fiasco ana bendi lakini haiko succesful, kuna living colour, lead singer wa newsboys na howard jones. uzuri wa Lenny ni multi talented, kwenye mziki yupo na movies yupo.
 
Lenny Kravitz mi naona ndo the only Afro-American aliefanikiwa kushine katika genre ambayo imetawaliwa sana na wazungu. Ni sawa na Eminem kwa Hip-Hop
huu mziki walianzisha watu weusi na sijui kwanini waliwaachia wazungu. mweusi anayesumbua hadi leo japo ni marehemu ni jim hendrix. lupe fiasco ana bendi lakini haiko succesful, kuna living colour, lead singer wa newsboys na howard jones. uzuri wa Lenny ni multi talented, kwenye mziki yupo na movies yupo.
 
huu mziki walianzisha watu weusi na sijui kwanini waliwaachia wazungu. mweusi anayesumbua hadi leo japo ni marehemu ni jim hendrix. lupe fiasco ana bendi lakini haiko succesful, kuna living colour, lead singer wa newsboys na howard jones. uzuri wa Lenny ni multi talented, kwenye mziki yupo na movies yupo.

Umewasahau The Heavy, mkuu! Lead singer wao nlikuwa najuaga ni mzungu bhana, jinsi sauti yake ilivokuwa nzuri, dah siku nimejua ni an Afro-American guy asee nlifurahi sana.
 
King Shaat, Red Giant, INGENJA and all rock music fans nawasalimu kwa ngoma hii iliyopigwa na Pink “Dear mr. President” itafuteni kwa wakati wenu. One love guys
 
King Shaat, Red Giant, INGENJA and all rock music fans nawasalimu kwa ngoma hii iliyopigwa na Pink "Dear mr. President" itafuteni kwa wakati wenu. One love guys
nimeicheki mkuu iko njema sana. ngoma kali za pink nazikubali sana ni please dont leave me na Try. try mashairi ya kwenye chorus hunikosha sana.
 
Get away with it(animal kingdom),paradise,yellow(coldplay),Crush(David Archuleta).Nyingine nyingi zaidi nizijuazo ni Christian contemporary rock,nadhani hapa si mahali pake.
 
  • Thanks
Reactions: mk4
Wakuu leteni manamba tuwaunge kwa group letu la whatsapp full Burudani nyimbo za rock ambazo nyingine hujawahi sikia. Tuwe pamoja, tu'rock pamoja, we are the Rock squad
 
kuna wapenzi wa bendi za hard rock na metal za zamani? nazungumzia Accept, AC/DC, scorpions, Van Halen, Gun 'n roses, cinderella, Blind Guardians, whitesnake, iron maiden, Queen etc.
 
Get away with it(animal kingdom),paradise,yellow(coldplay),Crush(David Archuleta).Nyingine nyingi zaidi nizijuazo ni Christian contemporary rock,nadhani hapa si mahali pake.
hata christian rock nazo poa. kuna bendi nzuri kama abandon, newsboys, casting crowns, hillsongs nk. pia kuna zile mtu akisikiliza atakataa kwamba ni christian. bendi kama for today, war of ages, devil wears prada, underoath, august burns red nk. hawa wanaimba christian death/extreme/war metal. mi nawaonaga poa tu kama Rose Mhando.
 
Heavy metal all day ...

Guns and Roses
Iron Maiden
Red Hot Chilli Peppers
Queen
Kiss
INXS
Pearl Jam
Bruce Springsteen
Lenny Kravits
Van Halen
Nirvana
Led Zeppelin
The Rolling Stone
REM
Motley Crue
 
Asee kwa wale wapenzi wa ROCK, mnakosa mengi coz kule kwa group letu la whatsapp kila siku zinadondoshwa nyimbo kali toka kwa bendi kali. Na leo inadondoshwa album yao Alice in Chains inaitwa Devil Put the Dinosaurs Here! Unachelewaje? Unapitwaje? Check this number to get you added in that group 0766078034
 
Unajua hawa majamaa wanapokuwa wanashuka mistari yao huku wanapiga guitars wanajaribu ku'channel their inner selves into the instrument sa mdadi unapanda mpaka anaona kubbaabbekki hiki kifaaa ni shida (SOB kabisa)

Pata kitu hiki kilichoporomoshwa na The Police kiitwacho 'Every Breath You take' mnamo mwaka 1983, wimbo huo ulifanyiwa remix na Puff Daddy (P. Diddy) na kutoa kitu maarufu kama 'Every move I take' ikiwa ni kumbukumbu kwa Christopher Warren (Notorious BIG).

 
Last edited by a moderator:
Pata kitu hiki kilichoporomoshwa na The Police kiitwacho 'Every Breath You take' mamo mwaka 1983, wimbo huo ulifanyiwa remix na Puff Daddy (P. Diddy) na kutoa kitu maarufu kama 'Every move I take' ikiwa ni kumbukumbu kwa Christopher Warren (Notorious BIG).
aisee! bonge la mballad.
 
wakuu iron maiden wametoa album mpya mwezi huu iinaitwa the book of souls ni noma. imeshika no 1 uk na no 4 kwenye billiboards 200. kuna gitaa za hatari sana humo.
 
Back
Top Bottom