M Z A N Z I B A R I
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 21,707
- 117,165
si mpenzi wa movie.Nilijua umeiweka kule mwalimu
si mpenzi wa movie.Nilijua umeiweka kule mwalimu
Aisee, ila sie wanafunzi wako tunapendasi mpenzi wa movie.
hakuna kazi ngumu kama ile ya kutaka kumfurahisha kila mwanadamuAisee, ila sie wanafunzi wako tunapenda
Duuhhakuna kazi ngumu kama ile ya kutaka kumfurahisha kila mwanadamu, si ajabu kukuta wengineo wanakugeuza mtumwa
teh tehKama una hasira za haraka usiivute Extraordinary you utavunja PC yako bure kwa upotevu wa MB zako
Jamani, si useme tu kama ipo mwalimu?najitahidi kutimiza wajibu wangu lakini kiupande wako umekuwa mgumu kama jiwe la fundi maico.
niliiweka ijumaa iliopitaJamani, si useme tu kama ipo mwalimu?
Basi sijaonaniliiweka ijumaa iliopita
itakuwa una makengeza, halafu niliweka project ya mchumba wako joo sang wook inaitwa fates and furiesBasi sijaona
hakuna kazi ngumu kama ile ya kutaka kumfurahisha kila mwanadamu, si ajabu kukuta wengineo wanakugeuza mtumwa
Hahaha Upo sawa, Lakini unaposwa ni kutimiza wajibu wako tu!, If that is your duty do it nigga.
Ingawa natambua Ushirikiano husaidia kukamilisha makubwa.
Mkuu mbona miye niki- upload madude yanafeli?
Galaxy J Max( Tablet)
- binadamu tumejaaliwa udhaifu ndani yake unaoitwa wivu ambao huzaa chukizo.
- wivu unapatikana pande zote mbili za wema na ubaya
- pengine ni network inasumbua huko uliko.
- unatumia device gani?
ipo vizuriKama Kuna mtu ameiona The tale of nokdu je vp ni nzuri?
ipo vizuri
Shukran mkuu
Hiyo na the empress ki ipi kali?ipo vizuri