Gwanggaeto the Great
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 817
- 1,772
Daemushin alikuwa mfalme asiyekuwa na Busara na alikuwa na mawazo hasi juu ya wanawake, lkn bado watu walitumikishwa kama tulivyoona( mtu anakua ngazi) kwa kweli mfalme Cho-Li alikuwa na Busara sana. Ila kwa Jeoson Lazima tukubali Sejong was Great ruler, JeongJo pia alikuwa bora alijaribu kuondoa masuala ya matabaka katika Jamii.What about Daemushin au Muhyul (Grandson wa Jumong) ambaye yuko portrayed vizuri kwenye THE LAND OF THE WINDS and JA MYUNG GO
Sent from The Black Forest