Gwanggaeto the Great
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 817
- 1,772
Vita alizokuwa anapigana Gwanggaetto ilikuwa ni kwa ajili ya wananchi wake, kumbuka huwezi fanya shughuli yeyote kama hakuna amani.
Baada ya njia ya Kidiplomasia kushindikana kuleta amani katika Peninsula aliamua Kuzikonka Nchi zote ili ziwe chini ya sheria ya Gogryeo.Lengo la yeye kupigana vita nyingi halikuwa Tamaa ya Ardhi bali ilikuwa Kuleta Amani.
Kitabu kiitwacho Picture in North Korea kimeeleza kuwa Gwanggaetto ni Jina kubwa baada ya Kim il sang, Kim Jong ili na Kim jong Un.
Baada ya njia ya Kidiplomasia kushindikana kuleta amani katika Peninsula aliamua Kuzikonka Nchi zote ili ziwe chini ya sheria ya Gogryeo.Lengo la yeye kupigana vita nyingi halikuwa Tamaa ya Ardhi bali ilikuwa Kuleta Amani.
Kitabu kiitwacho Picture in North Korea kimeeleza kuwa Gwanggaetto ni Jina kubwa baada ya Kim il sang, Kim Jong ili na Kim jong Un.