Kwa wanawake walioko kwenye ndoa tu

Kwa wanawake walioko kwenye ndoa tu

W

Wengine ni hulka zao tu. Hata wafanyweje lkn bado watachepuk

Najua kama unacheat sana. Ila sina uhakika kama mumeo analijua hilo. Hivyo basi cheat kwa namna itakayomfanya mumeo ajue, halafu utuletee mrejesho wake
Kwa taarifa tu, wanaume ambao wanakaa kimya ndo huwa wanabalaa la hatari, balaa lake halina mfano ila nyie wapiga kelele.... Ndo kwanza ukifumania unalia chozi na kamasi vinakutana shingoni, na ukute ndo una mwanamke dakika mbili mbele anakutishia kuachana unaanza kupiga magoti kuomba msamaha, sorry mke wangu nakupenda usiondoke ha ha ha
Umefumania, unalia na msamaha unaomba
 
wanume timizen wajibu wenu kwa wake zenu, am sure hawata cheat, pia muwe mnaangalia upande wa pili wa shilingi na ninyi hyo michepuko veepe???????? na sisi tunaumia na tunamoyo km ninyi, pia kuwen fair maisha yaende, ndoa sio vita fanya iwe sehemu ya maisha yako inayokupa furaha,........wanawake Mungu kaumba jambo jipya kwamba mwanamke atailinda ndoa yake, kuchepuka ni kujidhalilisha.
 
Nshaachana nae shemej. hatuwezi ogopa kula vitu vizuri kisa kuogopwa kuachwa. shemej kaka akikuacha wewe njoo mimi ntaishi na wewe kama hajaja kuomba pooo
Ahahhhahh shemej acha uongo na wengine utawapeleka wapi ww na kubanwa wapi na wapi
 
Ahahhhahh shemej acha uongo na wengine utawapeleka wapi ww na kubanwa wapi na wapi
Shemej ukikubali wengine wooote nawaacha unabaki wewe tuuu. ivi shemej unadhani kuna mtu hapendi vitu vizuri? vipotable?
 
Wapo wanaume wasiocheat naamini. Na kama imani yangu sio ya kweli bas hakuna maana ya ndoa kwangu coz tutaachana tu baada ya kujua hilo.
Nakubali wapo wasiocheat,what are ODDS za kumpata wa aina hiyo??Ukimpata bas unakuta jamaa is very boring na nin,gubu ndani ya nyumba nk nk,trade offs hakuna mkamilifu
 
Nakubali wapo wasiocheat,what are ODDS za kumpata wa aina hiyo??Ukimpata bas unakuta jamaa is very boring na nin,gubu ndani ya nyumba nk nk,trade offs hakuna mkamilifu
Na mtu utajuaje kwa uhakika kabisa kuwa mwenzako hachepuki ilhali watu hujaribu na hujitahidi kufanya hivyo kwa siri?

Manakr unaweza kudhani mwenzio hachepuki kabisa kumbe hujui tu.
 
Nahisi nikioa nitakuwa kati ya hao 37. Kwenye mahusiano nikiskia au nikajua mwenzangu anacheat huwa sinaga longolongo.
Ndo na ww usigonge nje maana utahukumuje mwenzio kwa kosa ulifanyalo pia
Na umsugue vyema
 
Kwa hili wanawake hata muongee nini, ukweli utasimama pale pale. Mwanamke kaumbiwa STAHA, KUJISTIRI, KUJIHESHIMU, KUJITUNZA. Nikimkamata wa kwangu mimi anacheat, wala sitomuumiza. Nitaivunja tu ndoa. Akale vizuri alikopeleka mboga.
 
Na mtu utajuaje kwa uhakika kabisa kuwa mwenzako hachepuki ilhali watu hujaribu na hujitahidi kufanya hivyo kwa siri?

Manakr unaweza kudhani mwenzio hachepuki kabisa kumbe hujui tu.
Hio ndo ishu ingine mana watu wasiri sana when it comes to cheating, even for years... Ss mtu anaposema wapo wasiocheat sijui anatoa wapi hio assurance
 
Kwa hili wanawake hata muongee nini, ukweli utasimama pale pale. Mwanamke kaumbiwa STAHA, KUJISTIRI, KUJIHESHIMU, KUJITUNZA. Nikimkamata wa kwangu mimi anacheat, wala sitomuumiza. Nitaivunja tu ndoa. Akale vizuri alikopeleka mboga.
Japo inauma lkn inatakiwa iwe hivyo
 
Hio ndo ishu ingine mana watu wasiri sana when it comes to cheating, even for years... Ss mtu anaposema wapo wasiocheat sijui anatoa wapi hio assurance

Ndo maana mimi naamini kuwa uaminifu ni siri ya mtu moyoni mwake.

Kama hauko na mwenza wako 24/7 huwezi kujua kwa uhakika kama mpenzi wako hachepuki.

Kinachokuwepo ni imani na matumaini tu ya kwamba huyo mwenzio hachepuki.
 
Ni sawa tu na kusema "All men cheat", una assurance gani kuwa wote wanacheat? Uliwakuta wote wakicheat au kwa sababu majority ya wanaume in your circle wanacheat ndo ukafanya conclusion? Even if my man cheats on me ni huyo wa kwangu na wenzie wanaocheat , still naamini wapo wanaume ambao hawacheat at all. Sidhani kama wanaume wote duniani wana utashi sawa na watafanana kwa kila kitu. Again "All" is such a very strong word.
Hio ndo ishu ingine mana watu wasiri sana when it comes to cheating, even for years... Ss mtu anaposema wapo wasiocheat sijui anatoa wapi hio assurance
 
Wanaume tunacheat sana. Unaweza kucheat hata mara 50 ila siku ukisikia au kufumania kitu mubashara either utaua, utalawiti au utavunja ndoa. Tuwe tunakua fair kidogo wakuu..na wao ni watu wenye mioyo. Sometimes wanakuwa na uhakika 98% kwamba wanachotiwa lakini wanamezea tu.

Having said that, let me be wa 39 kati ya 42
Hahahaha
 
Unajua dawa ya kusalitiwa sio kusalit. Hata vitabu vitakatifu vyote biblia na kuran vimeruhusu kuachana iwapo kuna ushahidi wa kusalitiwa.
Uwezo wa mwanaume katika mahusiano unazidi wa mwanamke. Mwanaume anaweza kuwa na uhusiano na wanawake zaid ya mmoja na asipoteze upendo kwa mke wake. Wengine hata wamekuwa na wake wengi na wameishi vizuri.

Lakini wanawake akisha cheat ujue amesha kuvua akilin mwake. Yaani anakushusha thaman kwanza. Unakuwa hauna maana kwake ndo anaenda kumvulia chupi mwingine. So ukishakuwa na uhakika kuwa mkeo ka cheat ina maana haupo tena akilin mwake. Na hata siri zako zote ameshazitoa kwa huyo firaun mwenzake. The best way you can do ni kuachana nae on point kabla hajawa sumu mbaya kwako au kabla hajakumalizia kabisa.

Akiku cheat na ukavumilia hakuna kitu cha maana mtakacho fanya kama familia.
Upo sahihi kabisa kiongozi.
 
Mijanamke ya siku hizi iko sugu mkuu, tena iko sugu kwa kila jambo. Kwahiyo hayaelewi wala kuambilika ... Yani ipoipo tu.
Mama, Dada, shangazi zako nao nadhani wamo kwenye hili kundi la mijianamke...
 
Ndo maana mimi naamini kuwa uaminifu ni siri ya mtu moyoni mwake.

Kama hauko na mwenza wako 24/7 huwezi kujua kwa uhakika kama mpenzi wako hachepuki.

Kinachokuwepo ni imani na matumaini tu ya kwamba huyo mwenzio hachepuki.
Umemaliza...
 
Back
Top Bottom