6 na 9 yote majibu inategemea upande unakosimamia kuisoma hiyo namba, Tatizo wanaume mlizoea kuwaona wanawake kaa viumbe dhaifu, viumbe wa kulia lia, kuogopa mwanadamu kuliko Mungu....!! Tumevumilia tumechoka na sie tuna reproductive organ kama zenu ambazo tukiwaona waliowazidi nyie na sie vinanyevua nyevua ila tunaufyata kwa heshima ya ndoa zetu, hebu badirikeni jaman.. Kwani vile viapo vya uaminifu tulivyoapa si kwa ajili yetu sote!! Kwani mliambiwa nyie Mchokonoe vya nje ila sisi tubaki ndani tunasubiri minyororo yenu..!!
Na sisi tuna Moyo sio jiwe.